Wanawake wa JF mbona hamjibu Private messages?

kwani unadhani hao ni wanawake ? ni midume hiyo itakutafuna
 
Msitufanyie hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha inakera sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jina lako ndio linafanya wakutumie meseji kama hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msitufanyie hvyo buanaa
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hahaha, inakuwa kama mlishajadili mwanzoni kwa hiyo mmefikia hapo.

Ngoja nireview PM yangu na Joanah nijue tulianzaje anzaje.
 
Muda mwengine watu wapo bussy na JF ina uzi mwingi kila muda unaingia so unaweza usione kama hujaangalia au kuweka notifications on. Pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…