kwani unadhani hao ni wanawake ? ni midume hiyo itakutafunaNimeenda PM kwa wanawake 29, mmoja tuu ndio nilimwambia mambo akajibu "kwa yesu!" wengine wote wapo kimya, nioneeni huruma nahitaji upendo wenu, wadada wa jf nawapenda sana jibuni meseji.
Nipate hata mmoja wa kupiga nae story tam tam namimi najua kupenda haswaaa!!
Halafu nikionaga tuu jina la dada ya jf kuna kaharufu kananijia puani inaonekana muwasafi na wazuri na mna ladha nzuri sana, nahitaji kampani yenu.
Nyie ndio kimbilio letu hapa JF
Sent using Jamii Forums mobile app
Msitufanyie hivyoKimtu kinakuja kabisa kinakusalimia vizuri kabisa,
Unaweka mapozi pembeni unakijibu halafu kinakuchunia.! Ni kama kilikuwa kinakupima tu kama utamjibu ama la..!!
tukileta pozi mnatusema, tukiwa wastaarabu tukajibu mnaanza kutu take for granted.! Na tutawachunia mpaka mkome.!
Hahaha inakera sanaKimtu kinakuja kabisa kinakusalimia vizuri kabisa,
Unaweka mapozi pembeni unakijibu halafu kinakuchunia.! Ni kama kilikuwa kinakupima tu kama utamjibu ama la..!!
tukileta pozi mnatusema, tukiwa wastaarabu tukajibu mnaanza kutu take for granted.! Na tutawachunia mpaka mkome.!
Jina lako ndio linafanya wakutumie meseji kama hizoWanaume wengi hawajielewi kabisa mtu anakuja pm badala ya salamu anaanza oyo uko pande za wapi? **
Hiyo hapo number nitafute whatsap utadhani alininunulie yeye simu **
Mara ooh wewe mrembo sana naomba picha sijui nani kamwambia kuwa nagawa picha
Lugha zenu sio nzuri kabisa !! Halafu wengi kujimwambafai kwingi wakati wanashindia mihogo .....** Badilikeni ....vingine mtakuwa mnakaushiwa sana ...na ukiona mwanamke mrembo jua huyo tayari ana mtu wake
Tafuta na ww wa kwako mtengeneze awe kama unavyopenda
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweliHuyo jamaa amenichekesha sana, yupo very straight.
Sema naona hapa tunachanganya mada, kuna mtu kumtafuta mtu kwa sababu ambayo haihusiani na mapenzi, na kuna kutongoza.
Kwenye kutongoza, huwa tunaanza mdogo mdogo, unamchekesha huku unawasilisha matatizo yako. Kama ni wa kukuelewa atakuelewa tu.
Ila hizi nyingine unataka msaada, wewe sema tu habari, halafu tiririka shida yako. Mbona tumesaidiwa na tumesaidia wengi kwa mtindo huo
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ambao huwa wanauliza kwa nini wadada wanafunga PM waje hapa wachukue majibu. Wengine huwa wanajiropokea eti wanaogopa kutongozwa....umri huu niogope kutongozwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kimtu kinakuja kabisa kinakusalimia vizuri kabisa,
Unaweka mapozi pembeni unakijibu halafu kinakuchunia.! Ni kama kilikuwa kinakupima tu kama utamjibu ama la..!!
tukileta pozi mnatusema, tukiwa wastaarabu tukajibu mnaanza kutu take for granted.! Na tutawachunia mpaka mkome.!
Hii ndio nzuri sasa mtu anakusalimia swali linalofuata uko wapi? Yaani ndani ya siku moja anataka kujua unaishi wapi, una miaka mingapi, unafanya kazi gani, una watoto wangapi. Watu wa namna hii hata nikiwajibu huwa wanajibiwa lolote linalokuja kichwani muda huo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha I don't care man, hiyo shape kama nimeanguka bafuni umeifuata ya nini? Si ushukuru umepunguziwa matatizo, jitu linakudharau kama hivi halafu linajileta PM kufanya nini sijuiSura mbovu, shepu kama umeanguka bafuna, sura kama denesi, mtu kama huyo anaringia nini sasa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijakusema wewe, nmetoa mfano au umeanguka bafuni kweli? Samahani sanaHahaha I don't care man, hiyo shape kama nimeanguka bafuni umeifuata ya nini? Si ushukuru umepunguziwa matatizo, jitu linakudharau kama hivi halafu linajileta PM kufanya nini sijui
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha I don't care man, hiyo shape kama nimeanguka bafuni umeifuata ya nini? Si ushukuru umepunguziwa matatizo, jitu linakudharau kama hivi halafu linajileta PM kufanya nini sijui
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijakusema wewe, nmetoa mfano au umeanguka bafuni kweli? Samahani sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio [emoji23][emoji23]