Wanawake wa JF mbona hamjibu Private messages?


Ukiambiwa umekula si unafanya kweli,kwani 'sh' ngapi bhana 😁

Nakusubiri
 
Hii comment imenifanya nicheke.
Asante kwa kuleta cheko usoni kwangu.

Hata mimi napenda mtu anayeenda moja kwa moja kwenye point. Namaanisha msg yake ya kwanza iwe na salamu na dhumuni la kunitafuta.
Cheki PM bby
 
Mambo
Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Demi acha ujinga.
Hebu weka wazi hapa jinsi nilivyoanza na wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…