Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Wewe unaonaje?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba hilo jibu limefanana na mimi?
Mnanionea jamani[emoji134]
Wewe ni jinsia gani?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Comments zinafurahisha sana aisee
Sina experience maana wote ambao najaribu kuwafuata huwa nakuta wamefunga[emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani hata Mimi huwa nakwazika.Ni utoto sana, kuna wale wa "x" badala ya "s" nachafukwa nikiona sms ya hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Em acha ukauzu basi, alikusalimia mara ya kwanza hukumjibu katoka na version ingine.
Kuna wanaume wastaarabu Sana humu ndani wamefunga PM zaoKhantwe acha uongo wanaume wanaofunga PM wanahesabika! Ha ha hivi mwanaume gani asiependa kulila kimasikhara?
PM iko open nakukaribisha wewe na wengine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka kuoa au kuolewa?
Amini nakuambia, wanaume wengi wanaonivutia mimi wamefunga PM labda ni mkosi wangu tu, sema yule mmoja sijajaribu bado[emoji16][emoji16][emoji16]Khantwe acha uongo wanaume wanaofunga PM wanahesabika! Ha ha hivi mwanaume gani asiependa kulila kimasikhara?
PM iko open nakukaribisha wewe na wengine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rafiki nikijua njia ya kufika huko PM nitakuja kusubiria zile raba[emoji4]Hii comment imenifanya nicheke.
Asante kwa kuleta cheko usoni kwangu.
Hata mimi napenda mtu anayeenda moja kwa moja kwenye point. Namaanisha msg yake ya kwanza iwe na salamu na dhumuni la kunitafuta.
Hahaha loh nilimjibu labda hakusikiaEm acha ukauzu basi, alikusalimia mara ya kwanza hukumjibu katoka na version ingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonesha unatembelea pm nyingi mpendwa
Hapana.!
Hapo tutumie njia gani?Msg zao
Hi cute
Hello Mamito
Hi Cham
Hello usingiz wangu
Yaan msg zako ukicomment unaonekana una ulimi mtamu
Nk. Ukiwaandikia maneno matamu matamu wanajiona wako sijui sayar gani
Sasa mm na wew hatujawah kuonana kwann nianze kukupa sifa zisizo????
kilicho akilini kitumie
Elimu unayoitoa ni nzuri, sema humu ndani kuna midundo inabidi uendano nayo la sivyo utavuna mabua.Wanao sema hivyo, hawajui matumizi ya tamko hilo. Kiasili binti hupenda urembo na hio ndio sifa anuai kwayo inawatofautisha na sisi, sasa mtu unapo mpa sifa yake stahiki, anakuwa ana matatizo. Kuna mambo ya kawaida, yaani ada na desturi na jamii huwa inahukumu mambo.
Hahaha sijui kwa nini jamani, itakuwa wameona midume inawafungulia I'd za kike kwenda kuwajaribu
Hadi Simba kakufungia pmAmini nakuambia, wanaume wengi wanaonivutia mimi wamefunga PM labda ni mkosi wangu tu, sema yule mmoja sijajaribu bado[emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app