Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana,Kwahiyo ndio umentenda hivyo???
Akili kumkichwaAah bwana nijibu tu na mi nijirekebishe nisije kosa bahati
Ukiniuliza hilo swali wala siwezi kukubulokuNa wewe utanibloki???
Usinifanyie hivi bibie.Kha!!! Makubwa haya, yaani mtu ajibu pm yako kwa uandishi wako huu ulojaa tamaa???? Woooiiii
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa somo zuri Ngebo.That's the crazy truth sis, nakufundisha tu hata ka una mume ana rafiki wa kike just be careful... na ndio hivyo yani 89% ya wanaume wanao dm waschana yani endproduct anayo aim hapo ni ending on bed wityu and nothing else
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nkupigie. Are you free???
Ni ngumu kuridhisha nafsi ya kila mtu, mda mwingine unafanya kile unachoona hakina madhara.alafu mwengine ukimjibu hivyo anakuona unaringa[emoji23][emoji23] au unajiskia
SawaBasi kama hujui, usiwe una andika usivyo vijua kufanya hivyo ni kuikosea adabu elimu na kuihujumu akili yako, ila chukua faida hiyo nimekupa.
Ahsante.
Mzima lakini bibie ?
Sina experience maana wote ambao najaribu kuwafuata huwa nakuta wamefunga[emoji16][emoji16]Nyie wadada kwa miongo kadhaa inafahamika kua sie men ndo hua tunawatongoza. Tamaduni za mahali kwingine zinaruhusu mdada kumfungukia mwanaume, ila kibongo bongo wachache wanafanya hivyo.
Hii ya kufunguka sikua nimeifikiria nilidhani unaenda PM kupiga story mbili tatu ili mwanaume ajiongeze mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua hilo, lengo langu ni wewe uitikie kwa kuandika, sijaona ulipojibu salamu yangu, ndio maana nimekariri.
Hiyo mamb jamani jamani kuna mtu nimeacha kujibu messages zake.
Inakera Sana mtu anaandika vifupi Hadi unaumwa kichwa kusoma Hadi kumuelewa.
Nikamwambia Naomba unapoandika message andika kwa kirefu tu,huwa sipendelei hivi vifupi lakini hasikii.
Nimeona nikae kimya..siku akiandika vizuri nitamjibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unazingua, kwani kuitikia lazima?Najua hilo, lengo langu ni wewe uitikie kwa kuandika, sijaona ulipojibu salamu yangu, ndio maana nimekariri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli sio wewe dada?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ulikuja kiuanaume hasa si kitoto. Advertise ukaomba namba ukanirushia muamala mengine yakaendelea. Hakuna nambie nambie...[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Demi acha ujinga.
Hebu weka wazi hapa jinsi nilivyoanza na wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app