Wanawake wa JF mbona hamjibu Private messages?

Wanawake wa JF mbona hamjibu Private messages?

Bazazi kazini

Sent using Jamii Forums mobile app

Bazazi hii ni nomino, wingi wake "Mabazazi".

Bazazi ni mtu atumaiye hila. Ana fanana au ni sawa mtu yule na pwagu, mzandiki, mlaghai, mnafiki, mdanganyifu.

Sasa mimi naingia wapi hapo au una maana nyingine zaidi ya hii niliyo itoa ?

Ahsante.
 
kuna wale Ambao Paula Paul anataka wakimfata PM waje straight to the point

asee nyie mfateteni paula tu ila mnaokujaga kwangu huwa siwajibu kabisa,mwanifahamu.

Jitu linakuja no salamu,hulijui,hamjawahi hata kugumiana kwenye thread huko

linaanza kutiririka sijui Ana mtaji wa kiasi kadhaaa,ana taka kufanya A,B,C so nimsaidie

mawazo Hawa raia nawatukanaga kimoyo moyo (fahamuni hilo) na siwajbu wengi sana.

Huwezi nifata mimi straight ukaanza eleza shda zako as if mimi ni mtatuzi wa matatizo yako.

Jitu linakuja linakutext "mambo,Naomba namba yako ya simu" hawa maandazi ninao PM

wengi sana,yani unakurupuka tu kurupu kurupu unaniomba namba,Maana ya PM ni nini?

nimechoka waelimisha huko PM tangu 2020 iiingie wanajibiwa wastaarabu tu na wanaojielewa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji16] ungeuliza 'kuna wadada wanawafuata wanaume PM kuwatongoza'? Yaani uwe na ujasiri wa kwenda PM halafu ukifika usubiri kutongozwa? Unafunguka tu mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie wadada kwa miongo kadhaa inafahamika kua sie men ndo hua tunawatongoza. Tamaduni za mahali kwingine zinaruhusu mdada kumfungukia mwanaume, ila kibongo bongo wachache wanafanya hivyo.

Hii ya kufunguka sikua nimeifikiria nilidhani unaenda PM kupiga story mbili tatu ili mwanaume ajiongeze mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu yangu secretary POMPEO nina wasi wasi na msg zako huko PM mpk unachuniwa.

Yawezekana unaandika "Mamb","Mmb" badala ya Mambo

Yawezekana unaforce vitu kama kuandika "Mambo mpenzi","Mambo Mrembo",nk wanawake

wanaojielewa ukimuita Mpenzi,Mrembo,mchumba From nowhere hakujui,humjui asee akikujibu

katambike au katoe sadaka ya shukuran,lazima kuna jinsi unakosea ktk hizo salamu zako.
Hiyo "mamb" jamani jamani kuna mtu nimeacha kujibu messages zake.
Inakera Sana mtu anaandika vifupi Hadi unaumwa kichwa kusoma Hadi kumuelewa.

Nikamwambia Naomba unapoandika message andika kwa kirefu tu,huwa sipendelei hivi vifupi lakini hasikii.
Nimeona nikae kimya..siku akiandika vizuri nitamjibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom