Wanawake wa JF mbona hamjibu Private messages?

Wanawake wa JF mbona hamjibu Private messages?

kwani unadhani mwanaume akikutafuta kuna nini kingine zaidi ya kutaka kulala na wewe, hamnaga cha urafiki kati ya mwanaume na mwanamke yani hata maofisini hamna cha professional relations, ukikaa kilaini unatupiwa nyavu na unalika, ukitaka kuamini hamnaga urafiki btn men n women, simu mbusu au initiate sexual moves uone utafanywa nn
Hii comment imenifanya nicheke.
Asante kwa kuleta cheko usoni kwangu.

Hata mimi napenda mtu anayeenda moja kwa moja kwenye point. Namaanisha msg yake ya kwanza iwe na salamu na dhumuni la kunitafuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama tumewahi kuwasiliana kabla ndio naweza nikakwambia ukweli kuhusu hali yangu.
Lakini secretary Pompeo anipm Mambo? Nianze kutiririka kwamba "mabaya, nimeamka najisikia vibaya sijui mgongo sijui kichwa" hapana, hata yeye akiwa anaandika "mambo" anategemea tuu jibu litakuwa ni poa.

Halafu Anne mbona mimi ukini pm unanyooka kwenye mada lakini hapa unanigeuka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona huwa naanza salamu.
Mara chache nanyooka kwenye shida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwani unadhani mwanaume akikutafuta kuna nini kingine zaidi ya kutaka kulala na wewe, hamnaga cha urafiki kati ya mwanaume na mwanamke yani hata maofisini hamna cha professional relations, ukikaa kilaini unatupiwa nyavu na unalika, ukitaka kuamini hamnaga urafiki btn men n women, simu mbusu au initiate sexual moves uone utafanywa nn

Sent using Jamii Forums mobile app
Lol, ridiculous.
 
Jamaa: Mambo

Mie: poa

Jamaa: Uko poa?

Mie: yeah sijambo

Jamaa: Mambo yanaendaje lakini.

Mie: Yanaenda vizuri nashukuru

Jamaa: Niambie

Mie: Nipo tu sina mpya

Jamaa: Umevaa nini?

Mie: [emoji849] suruali na t-shirt

Jamaa: kwani kuna baridi? Natamani nije nikuvue

Mie: [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]

***Kiukweli wengi ni pumba tu hawana la maana kila siku maswali hayo hayo , salamu inajirudia mara mia.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom