Wanawake wa JF mbona hamjibu Private messages?

Mkuu wewe ni jinsia gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo wazo umelitoa wapi!??Naamini unachokiwaza wewe si wazo la kila mtu,Urafiki unachagua Jinsia!?

Urafiki wa Mwanaume na mwanamke upo na utazidi kuwepo: Wewe umeamua kuamini haupo, si vibaya ila si kwamba haupo!!

Binafsi nimetengeneza marafiki kadhaa wadada na tumeheshimiana sana na wamekuwa marafiki bora kabisa kwangu na wala hakujawahi kuwepo ama kuzuka Chembe yeyote ya mahusiano ya kimapenzi kati yetu...

Maisha tuyaishi,Tusijibane na Fikra zenye mlengo mmoja!!!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…