Wanawake wa JF mbona huwa mnafunga PM zenu?

Wanawake wa JF mbona huwa mnafunga PM zenu?

kurlzawa

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2018
Posts
16,695
Reaction score
20,633
Habari za saa hizi wapendwa?
Natumaini hamjambo na ni wazima kabisa kama mimi nilivyo mzima.

Waungwana kuna jambo ningependa kufafanuliwa kwanini wanawake wa humu wanapenda kufunga PM zao?

Maana nimeliona Mara nyingi sana hili suala la wanaume kupiga magoti na kujishusha wakiomba kufunguliwa PM ili waweze kuongea Yale mambo ambayo huwa hayaongelewi public.

Ningependa kupata ufafanuzi wa kina na upembuzi yakinifu kuhusiana na hili suala.
 
Mimi nilifunga ya kwangu kulingana na usumbufu wa (vivulana), yaani mtu anaingia halafu anaongea ujinga. Imagine mtu anakwambia naomba picha yako ukiwa mtupu!!!🙁🙁🙁
Too pathetic
Duh! Kweli uyo nae alizingua sana
 
Back
Top Bottom