kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
Habari za saa hizi wapendwa?
Natumaini hamjambo na ni wazima kabisa kama mimi nilivyo mzima.
Waungwana kuna jambo ningependa kufafanuliwa kwanini wanawake wa humu wanapenda kufunga PM zao?
Maana nimeliona Mara nyingi sana hili suala la wanaume kupiga magoti na kujishusha wakiomba kufunguliwa PM ili waweze kuongea Yale mambo ambayo huwa hayaongelewi public.
Ningependa kupata ufafanuzi wa kina na upembuzi yakinifu kuhusiana na hili suala.
Natumaini hamjambo na ni wazima kabisa kama mimi nilivyo mzima.
Waungwana kuna jambo ningependa kufafanuliwa kwanini wanawake wa humu wanapenda kufunga PM zao?
Maana nimeliona Mara nyingi sana hili suala la wanaume kupiga magoti na kujishusha wakiomba kufunguliwa PM ili waweze kuongea Yale mambo ambayo huwa hayaongelewi public.
Ningependa kupata ufafanuzi wa kina na upembuzi yakinifu kuhusiana na hili suala.