Wanawake wa JF mbona huwa mnafunga PM zenu?

Hkuna dharau nisizopenda km hizo
Hlf ukimkatalia anakutusi
Sjui wakoje mm wananikera
Hao ni wale wanaomaliza shule za boarding (boys tupu),wanakuja mtaani wakiwa na mihemuko ya kufa mtu[emoji4] [emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…