Wanawake wa JF mbona huwa mnafunga PM zenu?

Mimi nilifunga ya kwangu kulingana na usumbufu wa (vivulana), yaani mtu anaingia halafu anaongea ujinga. Imagine mtu anakwambia naomba picha yako ukiwa mtupu!!!πŸ™πŸ™πŸ™
Sasa kuna ulazima kufunga? Unashindwaje kumpa ukweli wake kuwa huwezi kufanya hivyo?

Mnapofunga PM ni ishara ya woga na kutojiamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…