Wanawake wa JF mbona huwa mnafunga PM zenu?

Wanawake wa JF mbona huwa mnafunga PM zenu?

Kusumbua kupo lkn sio mtu anakuomba pic ya utupu
Hizo ni dharau nakaujinga
Mm sifanyi hizo bihashara mbovu

Ht ww najua uwez kukurupuka kutuma pic et umeombwa
Unashindwaje kumwambia huwezi kutuma naked picture?

Km ulifunga PM kwa ajili hiyo, wewe ni mwoga na hujiamini
 
Back
Top Bottom