Wanawake wa JF mbona huwa mnafunga PM zenu?

Kusumbua kupo lkn sio mtu anakuomba pic ya utupu
Hizo ni dharau nakaujinga
Mm sifanyi hizo bihashara mbovu

Ht ww najua uwez kukurupuka kutuma pic et umeombwa
Unashindwaje kumwambia huwezi kutuma naked picture?

Km ulifunga PM kwa ajili hiyo, wewe ni mwoga na hujiamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…