Wanawake wa JF mbona huwa mnafunga PM zenu?

Nimeona kadhaa wakilalamika ati sisi wanaume tunapokwenda kwenye pm za tunaohisi ni wakina dada tunaishia kutoa salama tu kila mara kama siyo kila saa...

Hahahaha....

Cc: mahondaw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…