Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,320
Kwann sasa hujibu....mfano nikija kukuuliza hata saa unanikaushia?!hapana sijafunga, ilinitoa ushamba, ila huwa sijibu PMs
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann sasa hujibu....mfano nikija kukuuliza hata saa unanikaushia?!hapana sijafunga, ilinitoa ushamba, ila huwa sijibu PMs
Ndio wadada tu...chuma kwa chuma cheche mkuuWadada tu?
[emoji23][emoji23] mkuu una mbinu za kijeshi kabisa aisee, embu kabla hujawacheck mods fanya hivyo kwanza...Nataka nimpange lin anitumie msg nione kama inafanya kazi...wadada hebu jaribuni kunitumia PM jamani
Naona lin kishaanza kunitoa kwny reli mapema[emoji23][emoji23] mkuu una mbinu za kijeshi kabisa aisee, embu kabla hujawacheck mods fanya hivyo kwanza...
yani hata kama umepotea njia, nakausha tuKwann sasa hujibu....mfano nikija kukuuliza hata saa unanikaushia?!
Sawa , mtu mzima nimeelewa mkuuNdio wadada tu...chuma kwa chuma cheche mkuu
Taratibu mtafika tu nae binadamu anaelewa...Naona lin kishaanza kunitoa kwny reli mapema
Huwezi sahaulika ww expert bhana...Hahah!! Ndio hivyo rafiki...
Kuna uzi wako wa miaka ile ulitaka kujua jinsi ya kublock mtu jfyani hata kama umepotea njia, nakausha tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] si ungempa ya mama Janet wa makufuli!Mimi nilifunga ya kwangu kulingana na usumbufu wa (vivulana), yaani mtu anaingia halafu anaongea ujinga. Imagine mtu anakwambia naomba picha yako ukiwa mtupu!!!🙁🙁🙁
lugha ya wageni haieleweki, kiyunani si kiyunani, kiyahudi si kiyahudiKumbe wewe hupendi wageni?
tehe tehe tehe nilijaribu ingawa niliona kama ilikataa maana nilikuwa bado naona threads & comments zakeKuna uzi wako wa miaka ile ulitaka kujua jinsi ya kublock mtu jf
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mimi nilifunga ya kwangu kulingana na usumbufu wa (vivulana), yaani mtu anaingia halafu anaongea ujinga. Imagine mtu anakwambia naomba picha yako ukiwa mtupu!!!🙁🙁🙁
Mambo ya pm yangekuwa yanaruhusiwa kuletwa hadharani tungeona mengi sanatehe tehe tehe nilijaribu ingawa niliona kama ilikataa maana nilikuwa bado naona threads & comments zake
Hebu taja tuoneItakua labda. Ningemtajia dau angeanza kwani ina tv ndani. [emoji23][emoji23]