Wanawake wa JF mbona huwa mnafunga PM zenu?

Wanawake wa JF mbona huwa mnafunga PM zenu?

Mdada anaefunga Pm hajiamini na inawezekana akawa mwajuma mlango wazi ukibisha hodi tu ndani, sasa ili kukwepa hilo anaona bora afunge tu maana mtu anaejiamini anajua hili yes hili no so hana haja ya kufunga PM. Jf wangetoa kwanza hii kitu wengine kuanza kuanzishiana thread humu kisa mtu unamkubali lakini kafunga PM unaamua kwenda public hatuwezi mnatupa tabu kweli[emoji38] [emoji38] [emoji38] .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahaaaa. Mie niliona marafiki niliowapata wanatosha

Na pia kwa mbaali sikutaka kumkosesha mtu amani hasa pale atakapojitumisha PM halafu mie nikamkalia kimya pasi kumjibu.

Hivyo tu na pia niseme iko wazi kwa wale wachache.
 
Sema wakati mwingine mtu unakuwa na uhitaji wa haraka ambao ni reasonable sasa unakuta PM imefungwa. Nadhani ni vizuri zingekuwa wazi na kama ni usumbufu unapuuza tu
 
Sema wakati mwingine mtu unakuwa na uhitaji wa haraka ambao ni reasonable sasa unakuta PM imefungwa. Nadhani ni vizuri zingekuwa wazi na kama ni usumbufu unapuuza tu
Nakazia hapa
 
Back
Top Bottom