Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,768
Mmh![emoji20][emoji20][emoji125][emoji125][emoji125]Watu wasanii sana,.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh![emoji20][emoji20][emoji125][emoji125][emoji125]Watu wasanii sana,.
NjooHongereni mnao funguliwa PM
Mnabahati wenzetu
Labda ufafanuzi wa jambo, Ujuzi wa kitu flani na umeona member ni mwelewa sana maeneo hayo sasa unaona ni busara kumfata PM unakuta imefungwa? labda mtu anahitaji msaada sio lazima aweke publicUhitaji wa haraka kama upi huo Mkuu?
Mmh! Bado sababu haijanishawishi Mkuu.Labda ufafanuzi wa jambo, Ujuzi wa kitu flani na umeona member ni mwelewa sana maeneo hayo sasa unaona ni busara kumfata PM unakuta imefungwa? labda mtu anahitaji msaada sio lazima aweke public
Kuna wengine wanahitaji ushauri na kashaona mhusika ni mtu mwenye busara na anaweza kumshauri vizuri, unakuta PM imefungwa. ni vizuri kubadili utaratibu maana kama ni usumbufu na mtaani mwasumbuliwa vile vile
a ha uko poa lakini weweHahaaaa. Lol.
Nipake tu mafuta. [emoji85] [emoji85]
[emoji120] [emoji120] [emoji120]MashAllah....
Mmh!Hahaha
Silalamiki shemeji nawapongeza tuu vijana wenye bahati
Wanajua kwenye huo ujinga wao wanaweza wakapata chochote kitu.[emoji23] [emoji23]
[emoji119] [emoji119]
Nahisi hao watakuwa wanajifanya tu kuwa ni wajinga
Niko poa namshukuru Mwenyezi Mungu. Natumai nawe pia uko poa.ha h
a ha uko poa lakini wewe
hahahaKama kweli vile mnavyoandika
Sio kila jambo ni la kuanzishia uzi, mengine yanaishia tu PM na mengine ni faragha zaidiMmh! Bado sababu haijanishawishi Mkuu.
Maana kama unataka ushauri si uanzishe uzi halafu huyo unayemtarajia mtag basi ili apate kukushauri au ushauri wa majukwaani na Pm hauwi sawa?
Direction kama nipotea njia [emoji2]Uhitaji wa haraka kama upi huo Mkuu?
Nimefurahi kusikia hilo kutoka kwako......but no wayNiko poa namshukuru Mwenyezi Mungu. Natumai nawe pia uko poa.
Unakimbiliwa wapi bebi katikati ya bahari..?![emoji12][emoji12][emoji12]Mmh![emoji20][emoji20][emoji125][emoji125][emoji125]
Hahaaa. Ila nitakusurprise siku moja. Hutaamini. [emoji85] [emoji85]Nimefurahi kusikia hilo kutoka kwako......but no way
Mmh!Njoo
Sijasema usinilishe manenoKumbe jamaa anatupiga chenga ya mwili tu hapa