Kafukuza wengi kwa kejeli, kule walikuja hadi akina Mshana jr lkn uzalendo uliwashinda, jamaa mbinafsi sanaHuu ndio ukweli mchungu kuna siku nilimwambia ndio mana watu wanatoka huku sisi wengine ni ubishi wetu ndio mana tunakomaa
Nawasubiri kwa hamu jamaniKesho nitaanza mie.
Yeye alileta wazo vizuri sana, tukalisupport, ila alikuja kuharibu pale ubinafsi ulipoanza.Hayupoooo katoka mda sana hata mwaka unakaribia akiingia anaingia kwa kubeep yupo busy anasema anashindwa post chochote
Hivi yupoje yule mtu anajifanya yeye ndio mwanzilishi wa kapuku alikuwa anakera sana Ila nilikuwa nampa yake nikiongea anaomba msamaha shunie basi yaishe mwanaume unakuwaje vile unafki tuKafukuza wengi kwa kejeli, kule walikuja hadi akina Mshana jr lkn uzalendo uliwashinda, jamaa mbinafsi sana
Ni kweli. Asee.... Braza umenikumbusha kaka sumbai.Alikuwa hapendi watu kutaniana hasa mapenzi kwani yeye hakubahatika kuwa na mpenzi, mimi nilipenda sana utani huo wa mapenzi kitendo ambacho kilimuudhi sana.
Siku moja alishindwa kuvumilia akaropoka na kunitamkia maneno ya kuudhi.
Huwezi amini jukwaa lote lilimgeuka na kumshambulia.
Alikuwepo
Youngblood, manuu, sumbai na wengine wengi.
Ilikuwa siku mbaya sana kf
Hiko ndio alichokuwa anakosea ooh busy na matani ya mapenzi sijui bla bla ganiYeye alileta wazo vizuri sana, tukalisupport, ila alikuja kuharibu pale ubinafsi ulipoanza.
Aheri mliomwambia ukweli, mimi siwezagi kumjibu mtu asiyejielewa. Naonaga ka napoteza mda.Huu ndio ukweli mchungu kuna siku nilimwambia ndio mana watu wanatoka huku sisi wengine ni ubishi wetu ndio mana tunakomaa
Mjinga sana, alinisababisha nimfuatilie nijue anatatizo gani.Ewaaaaa hata kwetu alikuwa anatuletea hii natamani Sakayo angekuwepo tukitaniana anaanza mambo zake tukamwambia sikiliza kama huna mtu wa kutaniana nae pambana na hali yako maisha lazima yaendane na matani
PoleeBasi kwenye kupost likaja kwahiyo unabisha ni uwongo sakayo akaja tena shunie naomba utoke kabisa jf yaan angenipa ban matata sana leo
Ule utani wetu wa kumgombania mremboNi kweli. Asee.... Braza umenikumbusha kaka sumbai.
Hata mm nilisikia tatizo lake ni kumsamehe tu si unajuwa wale wenzetuMjinga sana, alinisababisha nimfuatilie nijue anatatizo gani.
Nilipomfahamu na tatizo lake nilijilaumu kumhukumu.
Bila mapenzi hata jf yenyewe haina maana ujue...palipo mapenzi huwakosi watuNiko ndio alichokuwa anakosea ooh busy na matani ya mapenzi sijui bla bla gani
Kaka mm nilikuwa nampa ukweli na ninamwambia kapuku sitoki unune upasukeAheri mliomwambia ukweli, mimi siwezagi kumjibu mtu asiyejielewa. Naonaga ka napoteza mda.
Asante babePolee
Eti watu mle tulikuwa na wapenzi wetu, alafu kwa real life tuna familia kabisa. Nakumbuka mke wangu aliwahi kuniambia, "asee, wewe na jf ni sawa na mama na mwana, siwawezi".Ewaaaaa hata kwetu alikuwa anatuletea hii natamani Sakayo angekuwepo tukitaniana anaanza mambo zake tukamwambia sikiliza kama huna mtu wa kutaniana nae pambana na hali yako maisha lazima yaendane na matani
Kweli dadangu, ukiwa na kasoro huwa roho ya kujishuku na kujiona umepungukiwa inawaandama sanaHata mm nilisikia tatizo lake ni kumsamehe tu si unajuwa wale wenzetu
Watu hawaelewi kabisa maisha ni mapenzi ndio mana mapenzi yana run dunia kila sikuBila mapenzi hata jf yenyewe haina maana ujue...palipo mapenzi huwakosi watu
Shunie fambaf...wanijua sana hadi sur...Nimeanza kumjua na I'd hii ya shamma