Wanawake wa JF mbona huwa mnafunga PM zenu?

Wanawake wa JF mbona huwa mnafunga PM zenu?

Huu ndio ukweli mchungu kuna siku nilimwambia ndio mana watu wanatoka huku sisi wengine ni ubishi wetu ndio mana tunakomaa
Kafukuza wengi kwa kejeli, kule walikuja hadi akina Mshana jr lkn uzalendo uliwashinda, jamaa mbinafsi sana
 
Kafukuza wengi kwa kejeli, kule walikuja hadi akina Mshana jr lkn uzalendo uliwashinda, jamaa mbinafsi sana
Hivi yupoje yule mtu anajifanya yeye ndio mwanzilishi wa kapuku alikuwa anakera sana Ila nilikuwa nampa yake nikiongea anaomba msamaha shunie basi yaishe mwanaume unakuwaje vile unafki tu
 
Alikuwa hapendi watu kutaniana hasa mapenzi kwani yeye hakubahatika kuwa na mpenzi, mimi nilipenda sana utani huo wa mapenzi kitendo ambacho kilimuudhi sana.
Siku moja alishindwa kuvumilia akaropoka na kunitamkia maneno ya kuudhi.
Huwezi amini jukwaa lote lilimgeuka na kumshambulia.
Alikuwepo
Youngblood, manuu, sumbai na wengine wengi.
Ilikuwa siku mbaya sana kf
Ni kweli. Asee.... Braza umenikumbusha kaka sumbai.
 
Huu ndio ukweli mchungu kuna siku nilimwambia ndio mana watu wanatoka huku sisi wengine ni ubishi wetu ndio mana tunakomaa
Aheri mliomwambia ukweli, mimi siwezagi kumjibu mtu asiyejielewa. Naonaga ka napoteza mda.
 
Ewaaaaa hata kwetu alikuwa anatuletea hii natamani Sakayo angekuwepo tukitaniana anaanza mambo zake tukamwambia sikiliza kama huna mtu wa kutaniana nae pambana na hali yako maisha lazima yaendane na matani
Mjinga sana, alinisababisha nimfuatilie nijue anatatizo gani.
Nilipomfahamu na tatizo lake nilijilaumu kumhukumu.
 
Ewaaaaa hata kwetu alikuwa anatuletea hii natamani Sakayo angekuwepo tukitaniana anaanza mambo zake tukamwambia sikiliza kama huna mtu wa kutaniana nae pambana na hali yako maisha lazima yaendane na matani
Eti watu mle tulikuwa na wapenzi wetu, alafu kwa real life tuna familia kabisa. Nakumbuka mke wangu aliwahi kuniambia, "asee, wewe na jf ni sawa na mama na mwana, siwawezi".
 
Back
Top Bottom