Wanawake wa JF mbona huwa mnafunga PM zenu?

Wanawake wa JF mbona huwa mnafunga PM zenu?

Mzee mwenzangu naona pengo.
Nakumbuke wakati wa BOSSLADY tulivyokimbizaa
Penye ulipo kosea ni kumkaba jogoo kwenye mkia, na alipo kuponyoka akakuachia manyoya, na mbaya zaidi kumbe ulusahau kama jogoo huota manyoya....tehteehhh......[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Back
Top Bottom