Wanawake wa JF mbona huwa mnafunga PM zenu?

Mmh. Si kwa uzoefu huu Sesten. Teh

Hivyo mnatuchoraga tu. [emoji12]
 
Mmh. Si kwa uzoefu huu Sesten. Teh

Hivyo mnatuchoraga tu. [emoji12]
Hajar unajua kiasili wanaume ndio tumeumbiwa kuwatongoza wanawake japo kuna uwezekano mwanamke pia akatongoza, maranyingi nyie ni wasikilizaji na wachambuzi tu wa mitongozo ya kila aina, sasa hilo lazima lifanyike kwa ufundina kwa thamani halisi ya mwanamke
 
Oooh. Sawa Sesten.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wew unataka ziachwe wazi ili iweje?fataki wewe nisikukute na bint yangu utakuwa halali yang
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…