Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili la kutoa ID siwezi but yumo mmoja hapa ana bonge la avator Ila ukimuona daa🙌🙌🙌.Tutajie ID basi. Ina maana manzi wangu binti kiziwi ulitaka kumchapa mjulubeng dah
Nimejaribu kusoma Uzi wako zaidi ya mara tatu nielewe ulichomaanisha ila sielewi...Mambo yasiwe mengi.
Yani ID zile za zamani za wadada wakali hatuzioni sasa unakuta kuna ID mpya ya mdada uki click profile unaona ni wa 2013, 2014, 2015 au 16 lakini jina hujawahi kuliona JF.
Hapo sasa unaanza kujiuliza hivi huyu hawezi kuwa member wa zamani ambae niliwahi kumtongoza au kumchakata?
Jamani msibadili majina na mkibadili mtuambie ili tusiingie kwenye mtego.
Mfano hawa akina Palina Bantu Lady Makiwendo n.k
🤸🤸🤸😆😆😆😆
Hapana sijawahi hata kusumbuliwa Mie Mbona nikipata wa kunisumbua nitashukuru walai!!Kwamba huko PM mnasumbuliwa hadi mnaona bora kuzifunga?
Tuache utani nina omba Msaada kama hutajali!Sina la kuongezaaa🚮!
Sura za mwakareli🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂!Sema nini uzoefu wangu wa kuzama Pm Kabla ya kukutana na binti Kiziwi akanituliza. Wadada wengi maneno mengi humu ni sura za baba zao na shape za mwakaleli🏃🏃🏃. Yaani ukikutana nao utakimbia.
Wadada wazuri wanajijua na huwezi kuwakuta Wana vurugu humu jamvini. Chukueni hii kutoka kwangu. Ni Legend kwa kiasi chake.
Labda huna hobby ya kwenda chumbani...
HahaaaUnadelete vipi madini mzee?
Nilikiopoa bosi, Ila daaa, nikasema kweli hiyo ndo Ile pisi ya jf. Ikitoa comment humu mwanaume lazima genye zipande. Sasa hivi ukiona avator yake hatari!Sura za mwakareli🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂!
Hongera sana kuopoa chombo mkuu!!
Mimi ndo nshapitwaAcha kabisa
Hongera sana mkuu!! Ukimpata mtu akatulia ni raha sana hata wewe unafeel pride!! Kashesheeee ukutane na vichomi pro 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!! Hahahaaa Nacheka kama mazuri uwiiiii🤣🤣🤣🤣! ( Sijamsema mtu jamani )Nilikiopoa bosi, Ila daaa, nikasema kweli hiyo ndo Ile pisi ya jf. Ikitoa comment humu mwanaume lazima genye zipande. Sasa hivi ukiona avator yake hatari!
Ujumbe umfikie popote alipo huyo kichomi promax😊😊😊😊. Muache pm wazi sana mabaharia wengine wajaribu bahati zaoHongera sana mkuu!! Ukimpata mtu akatulia ni raha sana hata wewe unafeel pride!! Kashesheeee ukutane na vichomi pro 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!! Hahahaaa Nacheka kama mazuri uwiiiii🤣🤣🤣🤣! ( Sijamsema mtu jamani )
Sasa umeni'mention bila kujua ID yangu ya mwanzo Mkuu?ID yako ya zamani ni ipi tusije kukutongoza mara ya pili
asa hiki nacho ni kitu cha kutambia 😃Ujumbe umfikie popote alipo huyo kichomi promax😊😊😊😊. Muache pm wazi sana mabaharia wengine wajaribu bahati zao
Kutokana na malalamiko na nyuzi mbarembareee Nimetolea mfano tu mkuu sijamsema mtu aiseeehhh!!! Futa hio kauli mkuu pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!Ujumbe umfikie popote alipo huyo kichomi promax😊😊😊😊. Muache pm wazi sana mabaharia wengine wajaribu bahati zao