Wanawake wa JF mliobadili ID mnatupa ugumu kutongoza

Wanawake wa JF mliobadili ID mnatupa ugumu kutongoza

Mambo yasiwe mengi.

Yani ID zile za zamani za wadada wakali hatuzioni sasa unakuta kuna ID mpya ya mdada uki click profile unaona ni wa 2013, 2014, 2015 au 16 lakini jina hujawahi kuliona JF.


Hapo sasa unaanza kujiuliza hivi huyu hawezi kuwa member wa zamani ambae niliwahi kumtongoza au kumchakata?

Jamani msibadili majina na mkibadili mtuambie ili tusiingie kwenye mtego.

Mfano hawa akina Palina Bantu Lady Makiwendo n.k
Nimejaribu kusoma Uzi wako zaidi ya mara tatu nielewe ulichomaanisha ila sielewi...

Nikuulize!!!

Ulitaka kusema aje labda?
Na mtu kubadili ID unahusisha na nini?
 
Sema nini uzoefu wangu wa kuzama Pm Kabla ya kukutana na binti Kiziwi akanituliza. Wadada wengi maneno mengi humu ni sura za baba zao na shape za mwakaleli🏃🏃🏃. Yaani ukikutana nao utakimbia.
Wadada wazuri wanajijua na huwezi kuwakuta Wana vurugu humu jamvini. Chukueni hii kutoka kwangu. Ni Legend kwa kiasi chake.
Sura za mwakareli🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂!

Hongera sana kuopoa chombo mkuu!!
 
Sura za mwakareli🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂!

Hongera sana kuopoa chombo mkuu!!
Nilikiopoa bosi, Ila daaa, nikasema kweli hiyo ndo Ile pisi ya jf. Ikitoa comment humu mwanaume lazima genye zipande. Sasa hivi ukiona avator yake hatari!
 
Nimejaribu kusoma Uzi wako zaidi ya mara tatu nielewe ulichomaanisha ila sielewi...

Nikuulize!!!

Ulitaka kusema aje labda?
Na mtu kubadili ID unahusisha na nini?
ID yako ya zamani ni ipi tusije kukutongoza mara ya pili
 
Nilikiopoa bosi, Ila daaa, nikasema kweli hiyo ndo Ile pisi ya jf. Ikitoa comment humu mwanaume lazima genye zipande. Sasa hivi ukiona avator yake hatari!
Hongera sana mkuu!! Ukimpata mtu akatulia ni raha sana hata wewe unafeel pride!! Kashesheeee ukutane na vichomi pro 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!! Hahahaaa Nacheka kama mazuri uwiiiii🤣🤣🤣🤣! ( Sijamsema mtu jamani )
 
Hongera sana mkuu!! Ukimpata mtu akatulia ni raha sana hata wewe unafeel pride!! Kashesheeee ukutane na vichomi pro 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!! Hahahaaa Nacheka kama mazuri uwiiiii🤣🤣🤣🤣! ( Sijamsema mtu jamani )
Ujumbe umfikie popote alipo huyo kichomi promax😊😊😊😊. Muache pm wazi sana mabaharia wengine wajaribu bahati zao
 
ID yako ya zamani ni ipi tusije kukutongoza mara ya pili
Sasa umeni'mention bila kujua ID yangu ya mwanzo Mkuu?

Huoni kama umenikosea?

FYI: Mimi nilibadili ID August 2021, from Makiseo to Makiwendo.. Na hakukuwa na sababu yoyote.. Ni vile nilitamani tu kubadili..
Na nadhani soon nitabadili tena kwa mara ya tatu[emoji2]
 
Ujumbe umfikie popote alipo huyo kichomi promax😊😊😊😊. Muache pm wazi sana mabaharia wengine wajaribu bahati zao
Kutokana na malalamiko na nyuzi mbarembareee Nimetolea mfano tu mkuu sijamsema mtu aiseeehhh!!! Futa hio kauli mkuu pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
 
Back
Top Bottom