Keynez
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 2,428
- 3,937
Hamna shida, tutakwenda huko Dubai hata kwa kukopa. Rahisisha mambo basi maana inaonyesha unamjua vizuriUwe na ticket ya ndege pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna shida, tutakwenda huko Dubai hata kwa kukopa. Rahisisha mambo basi maana inaonyesha unamjua vizuriUwe na ticket ya ndege pia
Ni ID feki kweli, lakini kama ukizisoma vizuri unajua uhalisia wake. Yaani there's reality in these fake IDs.😂😂😂😂.. Mungu niepusha kutongoza Id feki. Sitorudia.
Nashukuru Mungu yashapita mkuu! 🙏I'm sure ulipita kipindi kigumu sana.
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂!! keyboard zinatufichia mengi sana kiukweli!😂😂😂😂.. Mungu niepusha kutongoza Id feki. Sitorudia.
Legend of the gameNgoja nikufundishe mbinu ya kibazazi siku moja uje unishukuru kaka yako...
Ukiona pisi yenye ID kali unaitumia PM, si lazima ajibu...
Hata akibadili ID mara mia, bazazi unakuwa na nyaraka ya siri tayari...
Si mpaka ufanikiwe kumtumia hio pm na iende sasa!!Ngoja nikufundishe mbinu ya kibazazi siku moja uje unishukuru kaka yako...
Ukiona pisi yenye ID kali unaitumia PM, si lazima ajibu...
Hata akibadili ID mara mia, bazazi unakuwa na nyaraka ya siri tayari...
We usiwaze kuharibiwa bwana. Huyo man tupo nae pamoja tutasaidiana tu majukumuLa Quica please hebu toa ID yangu hapo, sijawahi badili ID since 2014 nilipojiunga JF.
Sitakaa nibadili, sina sababu ya kufanya hivyo. Miaka kadhaa hapo kati nilikuwa nikisoma, bila ya kucomment.
Hii isikufanye uone ni ID mpya.
Kaka yangu Pendaelli Ngalikihinja mkuje kunisaidia huku, nyie mnanijua vizuri je nimebadili?
La Quica unaniharibia kwa my man... muone kwanza bichwa lako ☻
Wote mmeamua kufunga PM zenu? Sasa kama mtu ana issue yake anakupataje?Si mpaka ufanikiwe kumtumia hio pm na iende sasa!!
Si mpaka ufanikiwe kumtumia hio pm na iende sasa!!
Anhaaa hapo sawa!!Sio wote wamefunga PM...haswa wakiwa wageni
Sio wote sema mbugilambugila kama sie tunajua hatuna issue ya kufanya mtu akutafute huko pm so bora kuirestisha in peace tu!Wote mmeamua kufunga PM zenu? Sasa kama mtu ana issue yake anakupataje?
Haha sasa faida za kujua manzi gani kabadili ID kuwa nani ni zipi, mkuu?
Ayaaaaaaa...........
Ushatoa siri ya kambi master🤣🤣
Ooh binafsi hubadili username incaee nikilichoka lingine na wala sina bad history humu ndani.
Nabadili for my own good thats all