Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Usiambie watu basi[emoji16][emoji16][emoji16]tatizo unazingua sio bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiambie watu basi[emoji16][emoji16][emoji16]tatizo unazingua sio bure
Sijawahi kutongoza mkuu..... Ndio nataka nijaribu kama nitaweza kujifunza MP ilipo..😎Kwa hiyo bado unatongoza?🤣
Unajisumbua na wake za watu shauri ako.Mambo yasiwe mengi.
Yani ID zile za zamani za wadada wakali hatuzioni sasa unakuta kuna ID mpya ya mdada uki click profile unaona ni wa 2013, 2014, 2015 au 16 lakini jina hujawahi kuliona JF.
Hapo sasa unaanza kujiuliza hivi huyu hawezi kuwa member wa zamani ambae niliwahi kumtongoza au kumchakata?
Jamani msibadili majina na mkibadili mtuambie ili tusiingie kwenye mtego.
Mfano hawa akina Palina Bantu Lady Makiwendo
To yeye n.k
Hebu Kumbuka vzur,Itaje DeepPond [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] na ikiwa kweli nakutumia 500,000 cash kwa wakala.
Watu na mauzoefu yaoNi ID feki kweli, lakini kama ukizisoma vizuri unajua uhalisia wake. Yaani there's reality in these fake IDs.
Miaka kumi nipo humu mkuu, experience ya kusoma miandiko ya watu imeongezeka sana.Wati na mauzoefu yao
DeepPond wewe. Hiyo ID si kwamba nimeibadili. Nilingia JF 2010. ID yenyewe kuna mtu wa ofisini aliijua. Nikaacha kuingia sikuwa nacomment ilikuwa kwaajili ya kusoma tu.Hebu Kumbuka vzur,
Mbona ulijitaja mwnyw Kwny comments za Uzi flani wa zaman (early 2010s) nilikua naupitia, kuna mdau alikuuliza ukajisema mwnyw na I'd yako ya Sasa unayotumia.
Ngoja niutafute afu Ntakutumia screenshot pm,niandalie muamala chap[emoji39]
Naringia Uzima...Unaringia nini garakwamfano?
Hapana mpendwa,Kumbe na wewe umekula mbususu za kutosha humu dingi?
Jichanganye likukute jambo..Nami kuna kitu naendelea kujifunza hapa, hizi "kumbe" zisituhadae...hawa ni wataalamu kabisa🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂Humu sijawahi kutongoza mwingine zaidi yako mwanangu, ila huwa najiuliza kwanini sikuangukia kwa makurumbembe?
Yani ile kujaribu tu, nikajikuta penyewe kabisaaaa😂.