Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
WENGINE YANAFANANA..!! SASA NDO HUTAJUA KWAMBA UNAISHI MAISHA YAKO AU YA YULE YANAYOFANANA NA YAKOKila mtu aish maisha yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WENGINE YANAFANANA..!! SASA NDO HUTAJUA KWAMBA UNAISHI MAISHA YAKO AU YA YULE YANAYOFANANA NA YAKOKila mtu aish maisha yake
😂WENGINE YANAFANANA..!! SASA NDO HUTAJUA KWAMBA UNAISHI MAISHA YAKO AU YA YULE YANAYOFANANA NA YAKO
Sawa....Utakufa tu
Endelea basiWake za watu ndio watamu
Me ndo nimefika hivyo, ya nini kujaribu tena?😂😂😂😂
Jaribu tena likukute jambo..!!
Sahii ukijaribu tu unapokea muujiza wako baba..!!
eti nawe umebadili?Naringia Uzima...
Unaona aje hiyo?
sawa sawaSawa....
But wacha niringe ningali hai.
Ndiyo Swahiba....eti nawe umebadili?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sawa sawa
ooh safi sana,nilikua nahisi hvNdiyo Swahiba....
Kitambo sana... hata siyo zama hizi...
From Makiseo to Makiwendo..
Ndiyo hivyo tu..ooh safi sana,nilikua nahisi hv
safi sana,swahibaNdiyo hivyo tu..
Mzee mwenzangu kwenye moja na mbili 😂😂😂Ngoja nikufundishe mbinu ya kibazazi siku moja uje unishukuru kaka yako...
Ukiona pisi yenye ID kali unaitumia PM, si lazima ajibu...
Hata akibadili ID mara mia, bazazi unakuwa na nyaraka ya siri tayari...
Fungua PM nitest zari basi mnafunga PM utaratibu gani huoMnafanyaje kuchange Id?
Nikichange nitakuja kujitambulisha [emoji23][emoji23][emoji23]
Tulia 😂Fungua PM nitest zari basi mnafunga PM utaratibu gani huo
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Lakini mheshimiwa unapenda kunivurugia mambo!! ona sasa ona! And why huwa haunimention? 😅Sema nini uzoefu wangu wa kuzama Pm Kabla ya kukutana na binti Kiziwi akanituliza. Wadada wengi maneno mengi humu ni sura za baba zao na shape za mwakaleli🏃🏃🏃. Yaani ukikutana nao utakimbia.
Wadada wazuri wanajijua na huwezi kuwakuta Wana vurugu humu jamvini. Chukueni hii kutoka kwangu. Ni Legend kwa kiasi chake.
Babe wangu! huyu jamaa mfitini!!! huoni hajanimention?Tutajie ID basi. Ina maana manzi wangu binti kiziwi ulitaka kumchapa mjulubeng dah
hahahahahaLa Quica please hebu toa ID yangu hapo, sijawahi badili ID since 2014 nilipojiunga JF.
Sitakaa nibadili, sina sababu ya kufanya hivyo. Miaka kadhaa hapo kati nilikuwa nikisoma, bila ya kucomment.
Hii isikufanye uone ni ID mpya.
Kaka yangu Pendaelli Ngalikihinja mkuje kunisaidia huku, nyie mnanijua vizuri je nimebadili?
La Quica unaniharibia kwa my man... muone kwanza bichwa lako ☻
Mnafanyaje kuchange Id?
Nikichange nitakuja kujitambulisha [emoji23][emoji23][emoji23]