Wanawake wa JF mliobadili ID mnatupa ugumu kutongoza

Wanawake wa JF mliobadili ID mnatupa ugumu kutongoza

Mambo yasiwe mengi.

Yani ID zile za zamani za wadada wakali hatuzioni sasa unakuta kuna ID mpya ya mdada uki click profile unaona ni wa 2013, 2014, 2015 au 16 lakini jina hujawahi kuliona JF.


Hapo sasa unaanza kujiuliza hivi huyu hawezi kuwa member wa zamani ambae niliwahi kumtongoza au kumchakata?

Jamani msibadili majina na mkibadili mtuambie ili tusiingie kwenye mtego.

Mfano hawa akina Palina Bantu Lady Makiwendo
To yeye n.k
Ahahaaaa nimecheka sana
 
Unavowalia timing na wenyewe wanakulia timing hivo hivo, inaitwa butua nikubutue!

Jins ulivo kitombi na kuna wadada humu wanakigawa kama karanga daadeki! Hela ngumu mazee. Ila ni matumiz mabov ya jf kusaka pisi humu, umeshindwa platform wanazojianika sura na shape kabisa unakuja kutongoza id za ku download mshangaz miaka 50+ kaweka picha ya beyonce na wewe imoo [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Hao kina Mama Sabrina, Demiss, Miss Natafuta, Yna2, Nifah n.k na wengine wengi wamekuja kwa majina mapya baada ya kufumiliwa humu wanataka new members wawarukia kama visu vipya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanafamilia Wangu wote wananifahamu na niliwaweka wazi kabisa labda kama wewe si.
Bora nivobadili nimepumua na michambo ya humu na zile cc hata baada yaile skendo kwakweli! Nyieeeee[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna jambo linakujaaa. Naomba uwe upande wanguu. Uni motivatee.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna jambo linakujaaa. Naomba uwe upande wanguu. Uni motivatee.
Jambo gani trena kipenzi!!??? Usijareee kabisa wewe teinaaah!!!
 
Hongera sana mkuu!! Ukimpata mtu akatulia ni raha sana hata wewe unafeel pride!! Kashesheeee ukutane na vichomi pro [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!! Hahahaaa Nacheka kama mazuri uwiiiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]! ( Sijamsema mtu jamani )
Limekukuta jambooo shogaa mbogaaaa??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mnafanyaje kuchange Id?
Nikichange nitakuja kujitambulisha [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] natamanigi ila sasa sijui kubadilika. Lol
 
Mlolongo kachalii kadogo alimtongozaga wangari mathai ikatiki wakakubaliana wakutane Dar sehem flan. Dogo kasafir kutoka Arusha hadi. Kamngojea weee wangari hakutokezea akamuacha dogo kwenye mataa.

Dogo alimaindi akaja jamvin kumaliza hasira zake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Limekukuta jambooo shogaa mbogaaaa??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣 Yashapitaa . Maisha lazima yaendelee 🤣🤣🤣🤣😂😂!!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Maisha lazima yaendelee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila shougaaaa nakupenda hujawahi kufail, unavojua kujifyatua akili, km hamna kilitokea.

Nakupendaaaaa. Aririiiiii
 
Back
Top Bottom