Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Umeona luv ana shida sana. Sasa demu wao wa Dodoma miye namjulia wapi. Sijui naye alipangwa... hebu aniache akizidi atanipa ban na sekunde narudi ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐Nimeona tangu kule kwa master aisee!!
Aahh! Hajakaa ki shangazi ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃWe tulia ndio maaana nimemuambia dogo atulie huyo dada namfahamu vizuri
Fanya kupotezea asijekuharibu amani yakoUmeona luv ana shida sana. Sasa demu wao wa Dodoma miye namjulia wapi. Sijui naye alipangwa... hebu aniache akonizidi atanipa ban na sekunde narudi ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐
Mpendwa faida kubwa ni haurudii kutongoza mara ya pili....
Bado nakusubiriaaaa nimekaa paleeeee๐๐๐๐๐๐Uzi huu naushukuru!!!!! Kumbe ni wewe, nishahangaika kukutafuta. Mh!!!!!!
Sasa mpendwa si unajipotezea chance ya kuopoa mabebsHaha sasa kama watu wanatongozana bila kujuana, kuna hatari gani kurudia mtongozo?
Mh! Mwanajeshi nitampita wapi?Bado nakusubiriaaaa nimekaa paleeeee๐๐๐๐๐๐
Sasa mpendwa si unajipotezea chance ya kuopoa mabebs
Ndio nakwambia...nimekaaa hapaaaa nakusubiriaaaa kama ulivosema ! Huwa sisahau kirahisi mimi!Mh! Mwanajeshi nitampita wapi?
Ni moja kati ya member wa zamani ambao hawajawahi kubadilika na hawana mawaa na mtu.I testify that she has never changedLa Quica please hebu toa ID yangu hapo, sijawahi badili ID since 2014 nilipojiunga JF.
Sitakaa nibadili, sina sababu ya kufanya hivyo. Miaka kadhaa hapo kati nilikuwa nikisoma, bila ya kucomment.
Hii isikufanye uone ni ID mpya.
Kaka yangu Pendaelli Ngalikihinja mkuje kunisaidia huku, nyie mnanijua vizuri je nimebadili?
La Quica unaniharibia kwa my man... muone kwanza bichwa lako โป
Wewe cheza na moto, utaungua unajionaNdio nakwambia...nimekaaa hapaaaa nakusubiriaaaa kama ulivosema ! Huwa sisahau kirahisi mimi!
Please jaribu kupuuzia?Wewe mzee kwani unashida gani namimi? Toka jana umekazana namimi. Nina sausage hebu njoo nikulishe maana unawashwa sana namimi. Maniner
Sina la kuongeza mimi nishamaliza!Wewe cheza na moto, utaungua unajiona
Mpaka nikukule wewe!!!Sina la kuongeza mimi nishamaliza! Vi id vya 2017 2018 2019 2020 2021 2022 vitoto vya juzi vinavyojifanya vijuaji humu๐๐๐๐๐๐๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ
La Quica njoo hapaNi moja kati ya member wa zamani ambao hawajawahi kubadilika na hawana mawaa na mtu.I testify that she has never changed
Sina la kuongezaaa๐ฎ!Mpaka nikukule wewe!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Naam Mchakati umetuwakilisha vyemaMambo yasiwe mengi.
Yani ID zile za zamani za wadada wakali hatuzioni sasa unakuta kuna ID mpya ya mdada uki click profile unaona ni wa 2013, 2014, 2015 au 16 lakini jina hujawahi kuliona JF.
Hapo sasa unaanza kujiuliza hivi huyu hawezi kuwa member wa zamani ambae niliwahi kumtongoza au kumchakata?
Jamani msibadili majina na mkibadili mtuambie ili tusiingie kwenye mtego.
Mfano hawa akina Palina Bantu Lady Makiwendo n.k
Sawa best acha nimpuuzie tu. Asante sanaPlease jaribu kupuuzia?
I'm sure ulipita kipindi kigumu sana.Wanafamilia Wangu wote wananifahamu na niliwaweka wazi kabisa labda kama wewe si.
Bora nivobadili nimepumua na michambo ya humu na zile cc hata baada yaile skendo kwakweli! Nyieeeee[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]