Wanawake wa JF mliobadili ID mnatupa ugumu kutongoza

Umeona luv ana shida sana. Sasa demu wao wa Dodoma miye namjulia wapi. Sijui naye alipangwa... hebu aniache akonizidi atanipa ban na sekunde narudi ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Fanya kupotezea asijekuharibu amani yako
 
Ni moja kati ya member wa zamani ambao hawajawahi kubadilika na hawana mawaa na mtu.I testify that she has never changed
 
Sina la kuongeza mimi nishamaliza! Vi id vya 2017 2018 2019 2020 2021 2022 vitoto vya juzi vinavyojifanya vijuaji humu๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
Mpaka nikukule wewe!!!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Naam Mchakati umetuwakilisha vyema
 
Wanafamilia Wangu wote wananifahamu na niliwaweka wazi kabisa labda kama wewe si.
Bora nivobadili nimepumua na michambo ya humu na zile cc hata baada yaile skendo kwakweli! Nyieeeee[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
I'm sure ulipita kipindi kigumu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ