Mimi ni Rais wa nyumbani kwangu ndugu πππNatamani wewe uwe rais wetu wa awamu ya 7.. come on unaweza
Joyce Banda umemfuta?Mama Samia amefungua njia kwa Afrika Mashariki hata SADC hatujawahi kuwa na Madame President. Live Long our President.
Ooh nilimsahau, kwahiyo rekodi ni East AfricaJoyce Banda umemfuta?
Hela yetu ya kula tunayo coz tunafanya kazi na tunalipwa. ila na hela ya kutuhudumia kutoka upande wa pili hiyo ni lazima, hayo mambo eti kumeheshimiwa ni ya kisiasa.yabaki huko huko siasani.Kisa samia kapata uraisi mambo yetuprivate yaingiliwe?
samia ni rais wa nchi, mambo yetu ya private yatabaki yale yale, hela tutaendelea kupewa na tutazila ikiwezekana la muhimu tule hela tuliyopewa kwa hiari.
Aisee uraisi wa samia usiingilie haki zetu za kuhudumiwa pale inapotakiwa wanaume kutimiza majukimu yao. Siasa isiingilie haki zetu.
Hela yetu ya kula tunayo coz tunafanya kazi na tunalipwa. ila na hela ya kutuhudumia kutoka upande wa pili hiyo ni lazima, hayo mambo eti kumeheshimiwa ni ya kisiasa.yabaki huko huko siasani.
R.I.P JPM nipo hapa na kanga yangu nasubiri mwili upite niitandike apite.
Money can't buyKisa samia kapata uraisi mambo yetuprivate yaingiliwe?
samia ni rais wa nchi, mambo yetu ya private yatabaki yale yale, hela tutaendelea kupewa na tutazila ikiwezekana la muhimu tule hela tuliyopewa kwa hiari.
Aisee uraisi wa samia usiingilie haki zetu za kuhudumiwa pale inapotakiwa wanaume kutimiza majukimu yao. Siasa isiingilie haki zetu.
Hela yetu ya kula tunayo coz tunafanya kazi na tunalipwa. ila na hela ya kutuhudumia kutoka upande wa pili hiyo ni lazima, hayo mambo eti kumeheshimiwa ni ya kisiasa.yabaki huko huko siasani.
R.I.P JPM nipo hapa na kanga yangu nasubiri mwili upite niitandike apite.
Niko online hapa nimekuona mama usije ukazimia tuKisa samia kapata uraisi mambo yetuprivate yaingiliwe?
samia ni rais wa nchi, mambo yetu ya private yatabaki yale yale, hela tutaendelea kupewa na tutazila ikiwezekana la muhimu tule hela tuliyopewa kwa hiari.
Aisee uraisi wa samia usiingilie haki zetu za kuhudumiwa pale inapotakiwa wanaume kutimiza majukimu yao. Siasa isiingilie haki zetu.
Hela yetu ya kula tunayo coz tunafanya kazi na tunalipwa. ila na hela ya kutuhudumia kutoka upande wa pili hiyo ni lazima, hayo mambo eti kumeheshimiwa ni ya kisiasa.yabaki huko huko siasani.
R.I.P JPM nipo hapa na kanga yangu nasubiri mwili upite niitandike apite.
Kaka unamaanisha Askofu Rashid PhD!Nyota njema hiyo dada
Nakuona ukimrithi Dr Gwajima[emoji1548][emoji1534]
Uko wap nijeπKisa samia kapata uraisi mambo yetuprivate yaingiliwe?
samia ni rais wa nchi, mambo yetu ya private yatabaki yale yale, hela tutaendelea kupewa na tutazila ikiwezekana la muhimu tule hela tuliyopewa kwa hiari.
Aisee uraisi wa samia usiingilie haki zetu za kuhudumiwa pale inapotakiwa wanaume kutimiza majukimu yao. Siasa isiingilie haki zetu.
Hela yetu ya kula tunayo coz tunafanya kazi na tunalipwa. ila na hela ya kutuhudumia kutoka upande wa pili hiyo ni lazima, hayo mambo eti kumeheshimiwa ni ya kisiasa.yabaki huko huko siasani.
R.I.P JPM nipo hapa na kanga yangu nasubiri mwili upite niitandike apite.
Ni wakati wenyu sasa,msituangushe...msijiangushe.
Wewe hela unatoa au unataka haki sawa kukwepa majukumu?Uko wap nijeπ
Nimezimia ila sasa hivi nimezindukaNiko online hapa nimekuona mama usije ukazimia tu