Wanawake wa JF mmeheshimishwa: Msimuangushe Rais Samia Suluhu, msijiangushe

Tunaweza aisee,mjiandae pia na kukimbia vyumbani kwa bao tutakazowachezeshea.Lazima mkae chini safari hii
 
Tunaweza aisee,mjiandae pia na kukimbia vyumbani kwa bao tutakazowachezeshea.Lazima mkae chini safari hii
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji2839][emoji19][emoji19][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nampongeza sana huyu aliyeteuliwa uDED ,kafanye kazi I.D yako yapo ilikuwa ni utata mtu, mara uigize kama Kidume lkn , nenda kfanyekazi, lkn ikumbuke Jf.
Huwa nakupendea kitu kimoja hufungi DM na unajibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…