[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28]kumbe walikua buguruni malapa
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Punguzeni kukariri maisha hayaendi hivo[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Kusema mme wangu siku hizi analewa anashindwa hata kudrive ni kutangaza maisha?Kwani Jf ni sehemu ya matangazo ya maisha ya mtu binafsi?wenye maisha mazuri siku zote hawajitangazi bali yanaonekana yenyewe...
Hiyo ni kweli mkuu,yaan maisha ya bongo movie sio issue bhanawalahy
kama hutanipendi coz of mazingira yangu ni ya local niache tu kuliko kuigiza kama naishi masaki wakat naamkia yombo kwa gude
Kula hotelini beach fulani ya kifahari ndiyo maisha safi?Story yoyote inayoletwa na mwanamke humu ndani, utakuta anatoa mazingira ya maisha safi, kama anakula hotelini, beach fulani hivi za kifahari.
Kwanini utoe mfano wa maisha ambao unatenga jamii kubwa ya watanzania hawana. Jikubali tu bana hata kama ni mama ntilie au unauza karanga barabarani sie tutawapenda tu.
Kubali hali yako.
[emoji113]Kwa hiyo nyie mlitaka mtu akiandika stori aanze mpenzi wangu anayekaa kwenye nyumba kuukuu....
Kama mtu mpenzi wake anapunch gear kwanini asiandike? Au kama anaishi pazuri kwanini asiseme...
We dada nimekumis sana mwaaaHutaki hama jf mkuu ...
Miss u more mwaaaaaaaaWe dada nimekumis sana mwaaa
Thenkiyuuuuu very machiiiiiiiMiss u more mwaaaaaaaa
Karibu mkuuThenkiyuuuuu very machiiiiiii
Ahsante tuko pamojaKaribu mkuu
Umesahau kutaja aina ya gari mkuu [emoji23] [emoji23] [emoji23]Stori inataka ushauri juu ya mpenzi mlevi ila taandikwa hivi
Jamani naomba ushauri ,tukitokea vacation zanzibar mimi na mpenzi wangu ghafla ameanza tabia ya ulevi yaani jana kanywa chupa 3 za hennessy hata gari akashindwa kuendesha ......
Majimama hatuna swaga hizo.HAHAHAA MKUU UNAANZISHA VITA NA MAJIMAMA YA HUMU?Ngoja ninunue kabisa popcorn
Umejuaje kama anachoongea sio kweli?Kweli kabisa... Anaish tandare, anauza vitumbua asubuhi, anapata hela ya vocha anakuja na story za ajabu humu... Nilienda kempisiky na boy fulan.. Braaa....braaaa...braaa
Be natural bana people tunaelewa vizur tu
SweetheartKwa hiyo nyie mlitaka mtu akiandika stori aanze mpenzi wangu anayekaa kwenye nyumba kuukuu....
Kama mtu mpenzi wake anapunch gear kwanini asiandike? Au kama anaishi pazuri kwanini asiseme...
Yes babySweetheart
Do you know how much I love you?Yes baby