Mayila Baba
Member
- May 21, 2016
- 93
- 60
- Thread starter
- #101
Wapo wenye maisha yao... Wengi ni waigizaji... Hata kupanga hajawahi, anaishi kwa shoga yake......Umeona dada ake. Kweli kabisa yaani anatafuta chochote akifanye ndio kazi.
Eti dada kama ndio maisha yao wasiseme?