[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ili uje utusumbue humu... Maana sasa utaanza stori
Wasaalam JF juzi kati nilipokuwa kwenye mansion aliyoninunulia kaka huku napata mziki uliyotapakaa kila kona ya masters room zangu nikapata call kwa mpenzi wangu anataka niende maldves tukapumzishe akili msimu huu..
Yaani roho iliniuma maana ni juzi tu tumetoka abu dhabi hata kaharufu ka kiarabu hakajaisha.
Guys naombeni ushauri maana hizi bata zitaniua.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nakumbuka mstari wako 'watu wanakuja kutoa stress zao za maisha kwa wanawake wa JF na Magu'
Bwana we msisemage mnatukwaza sie tusiokuwa nayo, hebu msemage tu ulipokuwa unatembea... angalau tupate moyo kuwa watembea kwa miguu tupo wengi jamani.Hizo ni roho za kimasikini. Eti mtu akisema ana gari anaonekana anajikweza au anapretend! Hivi TZ ya leo gari pia ni kitu cha ajabu mtu kumiliki?!!
Kwakweli.Yaani JF ukitaka watu wafurahi andika ndoa yako ina matatizo, maisha yako magumu huna kazi, andika vyuma vimekaza sijala tangu jana! Ukiandika kinyume na hapo kuna watu wanakereka sana na mapovu yatawatoka. Lakini hio ni kawaida ya watu wenye roho za kimasikini, hata akijaliwa uwezo atataka asikie wenzie wanataabika ndio roho kwatu!
Ngoja niwashe gari niende zangu kula Eater's Point!Bwana we msisemage mnatukwaza sie tusiokuwa nayo, hebu msemage tu ulipokuwa unatembea... angalau tupate moyo kuwa watembea kwa miguu tupo wengi jamani.
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]Ngoja niwashe gari niende zangu kula Eater's Point!
Nitafungua thread kupunguzia watu stress[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
Nakutakia ukabwaji mwema na chakula utachokula, na traffic wakukamate wakuandikie makosa kibaooo.
Hahahaaaa. Nikishakuletea ndio tutaelewana kiasi gani huko huko. [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Hahahaaa. Ndio karibu hivyoooo.hahahahahahaha sawa nasubiria kwa hamu ujue. Jumatano ya kesho siyo next week🙂🙂
Ngoja me niseme kijiwe chakoHahahaaa. Hapana aisee kaka nilionao wanatosha.
Kiseme tu huenda ikawa sababu ya wateja wangu kuongezeka. Hahahaaaa.Ngoja me niseme kijiwe chako