Wanawake wa JF tukutane hapa

Hiyo picha ulopiga hapo ninayo[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Anaonekana wa kuja ila sio furushi yupo njema ujue s hawezi kuzaa tu bure bure
Aaah.. S alitokaga na yule kaka wa Kimara rafiki ake Ney wa mitego na akabadili jina.. itakua tu S kampenda maana S sio mwanamke wa hela kiviile.. ye anajua kupenda hela zinafuata
 
Shoga angu nae upo kumbeee[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Aaah.. S alitokaga na yule kaka wa Kimara rafiki ake Ney wa mitego na akabadili jina.. itakua tu S kampenda maana S sio mwanamke wa hela kiviile.. ye anajua kupenda hela zinafuata
Mmh kwani yule k alikua furushi mbona nilikua najua ana mahela mara prado mara kupost mapesa s mpaka jina akabadili nilikuwa nao bbm kipindi hiko
 
Mmh kwani yule k alikua furushi mbona nilikua najua ana mahela mara prado mara kupost mapesa s mpaka jina akabadili nilikuwa nao bbm kipindi hiko
Mwenyewe K nilijuana nae enzi za BBM.. hana bwana hizo hela basi tu S alimbabakia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…