Maendeleo yanaletwa na Mbunge?.Unajua kwanini kodi inakusanywa, ni kwa kazi gani?.Unajua msimamizi wa hiyo Kodi? Mmekaririshwa ujinga huko lumbumba? Na nyie mjikusanye mkamchukulie fomu yule muigizaji wa kula chips kavu kwa mama ntilie.😂😂😂😂😂Kaleta maendeleo gani hapa Mbeya mjini?
Afadhali kaamua kucheza na akina mama, sisi akina baba (na vijana wakiwemo) tumezichoka siasa zake za kiarakati, tunacho taka ni maendeleo.
😂😂😂😂😂😂😂😂 Msiogope, mwambieni betina asogelee mwanaume(Sugu) then atakuja kuwasimulia kitachompata😂😂😂😂Una maana gani kusema Mbunge wa milele?
Huwa mnanishangaza sana Watu nyie, upande mmoja mnampinga Raisi kutamani kutawala milele na huku mkihoji kama hakuna Wananchi wengine wenye uwezo, vipi huko nako mnamshangilia Mtu anayetamani kutawala milele kana kwamba hakuna wengine wenye uwezo kama wake?
Kwa hiyo wote waliopo hapo hawajaolewa umeambiwa?Ndo madhara ya wanaume kuoa mke mmoja mmoja .
ona sasa mabinti wanazurura tu mitaani.
wanawake ni wengi kuliko wanaume.kila mwanaume akioa angalau wake wawili ama watatu wanawake wasingezurula hovyo namna hii.
Kama mwenyekiti wenu alivyowapa wale waliomchangia?Siasa bwana. Kwa hiyo mmewapa wamama pesa,halafu ionekane kama wao ndo wametoa kumbe Sugu ndo kawapa. Siasa za Bongo bwana.
Nipo safarini naenda Mbeya kuwafungisha ndoa za mkeka.Kwa hiyo wote waliopo hapo hawajaolewa umeambiwa?
Naogopa mkuu, humo kazungumzia ile haramu iliyowafukuzisha kazi kule Meru.Eeh! Ndo huyo Sasa, endelea verse kabisa 😂😂😂
Ishiii![emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23] ..dah ila mnajifariji..sugu harudi hapo nyie muageni tu, jimbo linaenda kwa dada yetu tulia..
View attachment 1499535
Hili kwangu ni jambo jipya kidogo, kwa wanawake wenye uwezo wa kawaida kumlipia fomu Mbunge mstaafu mwenye marupurupu kibao, si jambo la kawaida hata kidogo.
Ama kwa Hakika kutoa ni moyo.
Ila wajue Tulia atawashangazaView attachment 1499535
Hili kwangu ni jambo jipya kidogo, kwa wanawake wenye uwezo wa kawaida kumlipia fomu Mbunge mstaafu mwenye marupurupu kibao, si jambo la kawaida hata kidogo.
Ama kwa Hakika kutoa ni moyo.
Aliwahi kufanya nini na wapi ?Dr. Tulia ni mtu sahihi kwa ubunge wa Mbeya sasa
Punda hawezi goma beba mzigo,Nakumegea siri , polisi wamechoka mno kutumikishwa .