Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
MchepukoHuyu anajibizana na mmewe kweli[emoji848] au ndo JUJU
Huko kenya mpaka wanasiasa wanapigwa na wake zao.Huyu anajibizana na mmewe kweli🤔 au ndo JUJU
Mkuu umenukumbusha Ben alivyo kula kichapo kutoka kwa Anna, kisha kesho yake akatoka ameshikilia mkongojo akazuga kwamba alianguka kwenye ngazi....🤣Huko kenya mpaka wanasiasa wanapigwa na wake zao.
wanawake wa Kenya ni type ya mke wa MkapPa.
Hivi mkewe kabila gani?Mkuu umenukumbusha Ben alivyo kula kichapo kutoka kwa Anna, kisha kesho yake akatoka ameshikilia mkongojo akazuga kwamba alianguka kwenye ngazi....🤣
R.i.P Ben.....
Michepuko wa huko jeuri nyng eeehMchepuko
Ngoja nije nivute moja ya kenya nione kama itafurukuta hivoHuko kenya mpaka wanasiasa wanapigwa na wake zao.
wanawake wa Kenya ni type ya mke wa MkapPa.
Wakenya karibu wote wapo hivyo mkuuHuyo jamaa alizaa na kichaa aiseeeee.....[emoji2955]
Chukua hii mkuu iko mombasa 30yrs hajaolewa... anafos nioe naogopa kinomaNgoja nije nivute moja ya kenya nione kama itafurukuta hivo
Mwingine huyu... nacht nao sana ni wajuaji balaa.. huyu ana miaka 40 na hajaolewa🥵🥵🥵Ngoja nije nivute moja ya kenya nione kama itafurukuta hivo
Wengi wao huko huwa ni single mothers mkuuChukua hii mkuu iko mombasa 30yrs hajaolewa... anafos nioe naogopa kinoma
View attachment 2204125
Ben alisikitisha sana na hata katika msiba Anna ...Mkuu umenukumbusha Ben alivyo kula kichapo kutoka kwa Anna, kisha kesho yake akatoka ameshikilia mkongojo akazuga kwamba alianguka kwenye ngazi....🤣
R.i.P Ben.....
Tanzania tupo na mademu wakali sisi tu ndio pasau vichwa ila Kwa uzur tu dada zetu weng ni wazurMimi Ni mkenya na saizi nipo Kenya kabisa,,,kusema Kweli Hawa wanawake wa Kwetu Ni pasua kichwa,,,Yaani Ni madikteta hatarii afu hawapendi kuendeshwa...Tena kwa kupiga mizinga hawajambo
Ndo maana binafsi huwa natamani Sana siku moja Mungu anijalie mwanamke wa Kitanzania nioe maana hao Ni wastaarabu Sana.
Kuna muda huwa nawaza kufungua Uzi niweke CV yangu Kisha humo niombe CONNECTIONS za mwanamke wa Kitanzania ila Naogopa sijui wanajf watanichukuliaje labda[emoji848]
Kabisa sipendi wanawake wa CV kwetu Kenya,Ni wabaya ajabu.
mimi ni mtz.Mimi Ni mkenya na saizi nipo Kenya kabisa,,,kusema Kweli Hawa wanawake wa Kwetu Ni pasua kichwa,,,Yaani Ni madikteta hatarii afu hawapendi kuendeshwa...Tena kwa kupiga mizinga hawajambo
Ndo maana binafsi huwa natamani Sana siku moja Mungu anijalie mwanamke wa Kitanzania nioe maana hao Ni wastaarabu Sana.
Kuna muda huwa nawaza kufungua Uzi niweke CV yangu Kisha humo niombe CONNECTIONS za mwanamke wa Kitanzania ila Naogopa sijui wanajf watanichukuliaje labda[emoji848]
Kabisa sipendi wanawake wa CV kwetu Kenya,Ni wabaya ajabu.