Wanawake wa Kenya wengi wao sio Romantic. They mostly talk, behave like men

Wanawake wa Kenya wengi wao sio Romantic. They mostly talk, behave like men

mimi ni mtz.
miaka kadhaa iliyopita niliwahi kuishi nairobi kikazi. nikaingia ktk mahusiano ya kimapenzi na demu mkikiyu wa kutokea kule kirinyaga.

mwanzo wa mahusiano yetu mapenzi yalikuwa hot sana.

rafiki zangu wa kutokea mombasani wakawa wananipa warning kuhusu wanawake wa central kenya, nikaziba masikio. nikahisi wananionea wivu.

siku zilivyosonga mbele nikaanza kuona rangi halisi yake halisi. tabia yake ikabadilika and she became so arrogant. tukipishana kidogo kauli ananitolea vitisho ati ooh wewe hujui sisi mademu wa kenya, ipo siku utanijua mimi ni nani and blablabla.

kimoyomoyo nikasema huyu hajui mimi ni mtz, nilipopata likizo nikaja home tz. halafu nakaenda ushagoo kwetu "kusalimia bibi na babu".

niliporudi nairobi alikuwa kama kondoo,jeuri yote kwisha. mpaka leo huwa ananikumbuka shenz zake.
😃 hiyo ushagoo.
 
Mimi Ni mkenya na saizi nipo Kenya kabisa,,,kusema Kweli Hawa wanawake wa Kwetu Ni pasua kichwa,,,Yaani Ni madikteta hatarii afu hawapendi kuendeshwa...Tena kwa kupiga mizinga hawajambo

Ndo maana binafsi huwa natamani Sana siku moja Mungu anijalie mwanamke wa Kitanzania nioe maana hao Ni wastaarabu Sana.

Kuna muda huwa nawaza kufungua Uzi niweke CV yangu Kisha humo niombe CONNECTIONS za mwanamke wa Kitanzania ila Naogopa sijui wanajf watanichukuliaje labda[emoji848]

Kabisa sipendi wanawake wa CV kwetu Kenya,Ni wabaya ajabu.
fungua tu uzi kaka usijisikie tofauti
 
mimi ni mtz.
miaka kadhaa iliyopita niliwahi kuishi nairobi kikazi. nikaingia ktk mahusiano ya kimapenzi na demu mkikuyu wa kutokea kule kirinyaga. she was so cute.

mwanzo wa mahusiano yetu mapenzi yalikuwa hot sana.

rafiki zangu wa kutokea mombasani wakawa wananipa warning kuhusu wanawake wa central kenya, nikaziba masikio. nikahisi wananionea wivu.

siku zilivyosonga mbele nikaanza kuona rangi yake halisi. tabia yake ikabadilika and she became so arrogant. tukipishana kidogo kauli ananitolea vitisho ati ooh wewe hujui sisi mademu wa kenya, ipo siku utanijua mimi ni nani and blablabla.

kimoyomoyo nikasema huyu hajui mimi ni mtz, nilipopata likizo nikaja home tz. halafu nakaenda ushagoo kwetu "kusalimia bibi na babu".

niliporudi nairobi alikuwa kama kondoo,jeuri yote kwisha. mpaka leo huwa ananikumbuka shenz zake.
Ushagoo ni wapi mkuu.
 
nilichomfanya kule ushagoo kwa bibi na babu ni siri yangu.

huwa ananipigia simu siku moja moja....ananimbia "wee mtz sijui ulinifanyanga nini, siwezi kukusahu".
Me nipo Nairobi sahivi, kiukweli wanawake wa huku ukiwa Mtanzania utawapata sana lakini tabia zao tu ndio zinawashinda wengi. Me nimetulia na mluhya wangu hana mambo mengi.
 
Me nipo Nairobi sahivi, kiukweli wanawake wa huku ukiwa Mtanzania utawapata sana lakini tabia zao tu ndio zinawashinda wengi. Me nimetulia na mluhya wangu hana mambo mengi.
nawafahamu vizuri sana mademu wa kiluhya. kitabia wapo vizuri ila kuna wakati huwa wana react na kuwa wababe mbele waume zao.

wengi wao wana maumbile makubwa na wana nguvu sana za kimwili, usipokuwa imara anaweza akakupelesha kama mtoto.
 
mimi ni mtz.
miaka kadhaa iliyopita niliwahi kuishi nairobi kikazi. nikaingia ktk mahusiano ya kimapenzi na demu mkikuyu wa kutokea kule kirinyaga. she was so cute.

mwanzo wa mahusiano yetu mapenzi yalikuwa hot sana.

rafiki zangu wa kutokea mombasani wakawa wananipa warning kuhusu wanawake wa central kenya, nikaziba masikio. nikahisi wananionea wivu.

siku zilivyosonga mbele nikaanza kuona rangi yake halisi. tabia yake ikabadilika and she became so arrogant. tukipishana kidogo kauli ananitolea vitisho ati ooh wewe hujui sisi mademu wa kenya, ipo siku utanijua mimi ni nani and blablabla.

kimoyomoyo nikasema huyu hajui mimi ni mtz, nilipopata likizo nikaja home tz. halafu nakaenda ushagoo kwetu "kusalimia bibi na babu".

niliporudi nairobi alikuwa kama kondoo,jeuri yote kwisha. mpaka leo huwa ananikumbuka shenz zake.
"kusalimia bibi na babu".[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kipindi nilikuaga nakubali sana kwenda kujipatia bibi kenya...ila nikapata rafiki akanionya na nikaanza ona matukio wanawake wakiwachoma visu wanaume...sina hamu tena.
 
nawafahamu vizuri sana mademu wa kiluhya. kitabia wapo vizuri ila kuna wakati huwa wana react na kuwa wababe mbele waume zao.

wengi wao wana maumbile makubwa na wana nguvu sana za kimwili, usipokuwa imara anaweza akakupelesha kama mtoto.
Kweli kbsa mkuu,Mimi mwenyewe Ni mluhya pure
 
Back
Top Bottom