Wanawake wa Kenya wengi wao sio Romantic. They mostly talk, behave like men

Wanawake wa Kenya wengi wao sio Romantic. They mostly talk, behave like men

Sijui mnafeli wapi. Nimeshindwa hata kuchangia huu uzi. Kama wanawake wanapa mtihani kuwadhibiti je akija jambazi hata na kijiko si mtasaula kila kitu?!
 
mimi ni mtz.
miaka kadhaa iliyopita niliwahi kuishi nairobi kikazi. nikaingia ktk mahusiano ya kimapenzi na demu mkikuyu wa kutokea kule kirinyaga. she was so cute.

mwanzo wa mahusiano yetu mapenzi yalikuwa hot sana.

rafiki zangu wa kutokea mombasani wakawa wananipa warning kuhusu wanawake wa central kenya, nikaziba masikio. nikahisi wananionea wivu.

siku zilivyosonga mbele nikaanza kuona rangi yake halisi. tabia yake ikabadilika and she became so arrogant. tukipishana kidogo kauli ananitolea vitisho ati ooh wewe hujui sisi mademu wa kenya, ipo siku utanijua mimi ni nani and blablabla.

kimoyomoyo nikasema huyu hajui mimi ni mtz, nilipopata likizo nikaja home tz. halafu nakaenda ushagoo kwetu "kusalimia bibi na babu".

niliporudi nairobi alikuwa kama kondoo,jeuri yote kwisha. mpaka leo huwa ananikumbuka shenz zake.
Uliiroga pisi ya central kenya? 😀😀
 
Daaah


Ukiwa mtz unawachukua kirahisi sio kuww kuwa makini kama wewe ni malaya. huyo mmoja anasema alikuwa anapenda ninavyoongea


Ila sasa broo ukishikwa una cheat hivyo vita vyake sio vya nchi pisi gomvi sijapata ona
 
Back
Top Bottom