Wanawake wa Kenya wengi wao sio Romantic. They mostly talk, behave like men

Sijui mnafeli wapi. Nimeshindwa hata kuchangia huu uzi. Kama wanawake wanapa mtihani kuwadhibiti je akija jambazi hata na kijiko si mtasaula kila kitu?!
 
Uliiroga pisi ya central kenya? 😀😀
 
Daaah


Ukiwa mtz unawachukua kirahisi sio kuww kuwa makini kama wewe ni malaya. huyo mmoja anasema alikuwa anapenda ninavyoongea


Ila sasa broo ukishikwa una cheat hivyo vita vyake sio vya nchi pisi gomvi sijapata ona
 
Vere good..good🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…