Michael Dudicoff
Senior Member
- Aug 20, 2024
- 170
- 243
Watamu wapi wakati akilala na wewe ubongo wake unawaza hela hata muda wa kukuwaza wewe hana.Mabinti wao,watamu sana
Mtu akisema mtanzanu badala ya mtanzania kuna tofauti gani?! Nakuongezea nyingine, siyo mrwanda bali mnyarwanda,hicho ndicho kiswahiliKuna utafauti gani?!
Mh. Rais wa Zanzibar, Hussein Mwinyi1. Kwa misiba ya Karibuni ya watu maarufu hapa nchini (Mafuru na Ndugulile) nimegundua wajane wote ni toka Uchagani.
2. Hawa viumbe wananusa fursa na kujulia namna ya kukuza kipaji cha mume mpaka ngazi za juu. Tofauti na wanaume wa Uchagani wanaoshobokea Wadangaji wanakuja kuharibu familia na Mali za marehemu (RIP Dr Machache).
Orodha ya watu maarufu waliooa Uchagani
1. Mafuru (RIP)
2. Dr. Ndugulile (RIP)
3. Mhe. Dr Lameck Madelu Nchemba - BA Economics (Hons.) First Class, MA Economics, PhD.
4. Mhe. January Makamba (MP),
5. Prof Kitila Mkumbo (PhD),
6. Jumaa Awesso (MP),
7. Majizzo,
8. Rich Mitindo,
9. Prof Mukandala (PhD),
10. Nabii Mkuu Mwingira.
11. Dr Salmin,
12. Prof Lipumba (PhD).
πππππ
Nakusalimu Bro,
kusifiwa kumekuwa kudogo, kupondwa ndiyo kumekuwa kwingi, kiruuu..!!π
Muache mywangu Tresor Mandala nampenda Sana
Njoo ulambe kidogoππndo maana una nyonyo kubwa
Mbona hujapiga magoti! πMimi mmakonde mdogo wangu...
Mkuu ni kiongozi yupi huyo!?Alipoteguka ugoko,akatumia ndege yetu kwenda kutibiwa uswisi
Lowassa naye amebahatisha.I think Lowasa was the luckiest man kupata mke bora among politicians in Tanzania. Yule Mama wa Kirangi aisee ni mtu na nusu.
Sasa mtu kama Majizo nae unahesabu Ana mke ?
Vijana wamuige Lowasa kama kioo cha familia bora
Hao wengine uliotaja hapo ni wamekula umeme na wengine among the list wanaishi kimatumaini zaidi
Lowassa naye amebahatisha.
Warangi hawachelewi kukuweka zezeta Kila kitu uwe "ebhana ndiooo".
Warangi sio poa kabbissa.
Ndio nasema Lowassa alibahatika.Mama Regina Lowassa ni Mama Mkatoliki safi anaonekana ni mnyenyekevu sana.
Ni kweli alibahatika sana.Ndio nasema Lowassa alibahatika.
Ila warangi nao sio poa kabisa mkuu.
Hawajasifiwa. Soma vzr btn the lines...uhusiano na misiba
Basi nimeacha wii wangu πΉπΉIla Wiii....πππ
Wewe si wakutuambia hivyo aki...
UsimleteπYaani unaniletea Mpalestina?, hapa kwangu asifike....
BenjaMkuu ni kiongozi yupi huyo!?
πππ
Ila Binadamu hamueleweki mara muwaseme Dada zetu siku nyingine muwasifie.1. Kwa misiba ya Karibuni ya watu maarufu hapa nchini (Mafuru na Ndugulile) nimegundua wajane wote ni toka Uchagani.
2. Hawa viumbe wananusa fursa na kujulia namna ya kukuza kipaji cha mume mpaka ngazi za juu. Tofauti na wanaume wa Uchagani wanaoshobokea Wadangaji wanakuja kuharibu familia na Mali za marehemu (RIP Dr Machache).
Orodha ya watu maarufu waliooa Uchagani
1. Mafuru (RIP)
2. Dr. Ndugulile (RIP)
3. Mhe. Dr Lameck Madelu Nchemba - BA Economics (Hons.) First Class, MA Economics, PhD.
4. Mhe. January Makamba (MP),
5. Prof Kitila Mkumbo (PhD),
6. Jumaa Awesso (MP),
7. Majizzo,
8. Rich Mitindo,
9. Prof Mukandala (PhD),
10. Nabii Mkuu Mwingira.
11. Dr Salmin,
12. Prof Lipumba (PhD).