M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
- Thread starter
-
- #101
Vizuri kwa kuweka sawa kuhusu hapo kwa Chenge, Pia kuna yule alikuwa mbungeAndy Chenge kachukua jiko upareni. Ana makosa mengi lakini sio katika kuchagua jiko.
Hivi Ndugulile naye Ni Mkerewe?
Maana wakerewe hawapendi kuoa kwao.
Dada zao hawaoleki.
Ukinionyesha MTU maarufu ambaye sio Mkerewe au mgita aliyeoa Ukerewe na ndoa ikadumu nabadili ID
Usiwasanue mkuu watatusumbua πΉWakinga ndo kabila la kuoa
Nilitaka nishangae ππ, wa migombani usipite hapa ππUpuuzi mtupu
Mmezidi mnapiga wenzenu na stuli khaaa.!! π€£πΉπΉπ€£π€£π€£π€£Nakuheshimu sana Ushimen tafadhali...
Watoto ni Barakaπ π πNimezaa Na Mchagga, Msukuma, Mhangaza Na Mmwela. Kila mtoto wangu ni first born
Mpaka hapo umeacha Single Maza wanne.Nimezaa Na Mchagga, Msukuma, Mhangaza Na Mmwela. Kila mtoto wangu ni first born
Sipingi mkuu. Niko na jirani hapa.. Ngoja nizime taa! πAlafu ukiishaoa mchaga ukapata hela anakutanguliza RIP
We ni wapi mwananguNilitaka nishangae ππ, wa migombani usipite hapa ππ
Hukuza na mrusi Yule demu Natasha wa b52 club mkuu kweliMimi nimezaa na Mchaga,Mnyakyusa,Mtutsi,Mngoni na Mnyiramba.
ππ hiyo siri ya kambi jamaaWe ni wapi mwanangu
Haya bn sema tajua tu ngoja ujichanganyeππ hiyo siri ya kambi jamaa
Kumbe tupo wengi wenye ma first born tuu.Nimezaa Na Mchagga, Msukuma, Mhangaza Na Mmwela. Kila mtoto wangu ni first born
Kujichanganya ndiyo siwezi aisee ππHaya bn sema tajua tu ngoja ujichanganye
Na ndio ukweli! Ukifika climax ya mafanikio ndio kwa heri.Kuna code hujaijua hapo,ukioa mchaga miaka 60 hutoboi
Maandishi kama yanakuja yanakataaa hiviKujichanganya ndiyo siwezi aisee ππ