Wanawake wa Kichaga wapewe maua yao!

Ukioa mchaga, mkatafuta mali mkapata, na watoto wakakua, hama nyumbani, mwachie mkeo mali, mwachie na watoto wake, ondoka, kaishi sehemu nyingine. Usipofanya hivyo, kufika umri wa miaka 60, itakuwa nadra sana.
 
Benjamin william mkapa muongese hapo
 
Samuel Malecela
 
Na Lile kabila vp!? Wanawake zao hawahitaji maua!? Au Tutawapelekea wakifa, wakati wa graduu na Wakati wa Ndoa

Tumevunapo Vunapo Mawazo Ya Mjinga - Maana ni mie nilidhani kila mtu hana MAISHA YAKE (Ndio kilimo Kigumu Duniani)

Mawazo ya Mjinga Lazima yatamtokea TUUUπŸ‘‘πŸ‘‘
 
ndio wanaokutana nao ofisini na biasharani

Wanyakyusa mshukuruni sana mkuu wa usalama wa taifa mstaafu ,mwang'onda alifanya makubwa sana kuhakikisha wanyakyusa wanakuwa maofisini baada ya wachaga
 
Ila moto waliupata.
Kuna mmoja hapo aliwahi kupigwa na stuli ya ugoko hadi goti likateguka...πŸ˜‚
Kuna huyo mwingine anae fuata aliuona moto hadi akaamua kuama na kuisusia nyumba akaenda kuishi kwa mpango wa kando..😜
da!!!,,,,,wanawake wa kichaga wakikuchoka utapigwa stuli kama uwanja wa kwa mkapa!!
 

We mchaga eh? Mwanaume au mwananke?
 
Holy shit eti kukuza kipaji Cha mume.
Mchaga gani atakukubali ukiwa hoe hae!?
Msiwape watu umuhimu ambao hawana.
 
Mke wa Mwigulu ni mnyakyusa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…