Wanawake wa Kigoma eneo dogo la Ujiji ni balaa, Tanga haioni ndani...

Duuu!!! nikajua majumba mengi Kariakoo ni ya wakinga
 
MaTaGa kumbe uko makini na historia
 

Kwa mtaji huu inaweza kuwa Daktari Mpango anachubiria chubiria?

Hii mirathi hii hatari sana.
 
Duh!!!
 
Last seen yesterday! tafadhali tupe mrejesho!!! Huu uzi wako ni wa tangia mwaka 2011!!
 
Umenasa kwa Mmanyema mkuu
 
Uko sahihi mkuu, nilisimuliwa hili jambo na mzee mmoja niliyemkuta kijiweni pale mtaa wa Livingstone na Agrey alinisimulia hili jambo
 
๐Ž๐ง๐ ๐ž๐ณ๐ž๐š ๐ฉ๐ข๐š ๐ง๐ข ๐ฐ๐š๐ฏ๐ฎ๐ฆ๐ข๐ฅ๐ข๐ฏ๐ฎ,
๐ค๐š๐ซ๐ข๐›๐ฎ๐ง๐ข ๐ค๐ข๐ ๐จ๐ฆ๐š ๐ฐ๐š๐ง๐š ๐‰๐Ÿ ๐ฐ๐จ๐ญ๐ž, ๐ฌ๐ข๐ฌ๐ข ๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž๐ฃ๐ข ๐ญ๐ฎ๐ง๐š๐ฐ๐š๐ค๐š๐ซ๐ข๐›๐ข๐ฌ๐ก๐ž๐ง๐ข
 

Wanawake wa kimanyema historia yao ni kubwa mno, walifika mjini kuleta biashara ya mashuka na mawese na sabuni zao almaarufu gwanji, hao ndio ambao ukimgusa kitandani huchomoki, wanawake hao walipofika mjini kama ulivoeleza wazee ndoa zao zilivunjika sana kama marehemu Boss wa mawingu angekuepo tungeuliza alipewa nini na mmanyema yule hadi akawa analia kama mtoto.
 
Naongezea wamanyema hawana mpinzani, singida na kondoa wana housing za kuvutia lakini ndio hulala kama magogo tu
Kiukweli kuna wanawake wengine unawaonea bure tuu, sio wao wala sio mambo ya rufundi, ni nature tuu imewagomea kama ulivyo utamu wa matunda, lila tunda ukimega ni tamu, ila huwezi kufananisha utamu wa nanasi na tiketi!. Usililaumu tikiti kwa kulinanga sio tamu kama nanasi, utamu huo wa tikiti ndio utamu wake, kama ilivyo kwa embe dodo na dafu, usilidharau dafu, embe tunda la msimu.
P
 
Kesho napanda treni to kigoma nkathibitishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ