Wanawake wa Kigoma eneo dogo la Ujiji ni balaa, Tanga haioni ndani...

Wanawake wa Kigoma eneo dogo la Ujiji ni balaa, Tanga haioni ndani...

Pamoja na michanganyiko yote hiyo ya makabila, mabingwa ni wanawake wa Kimanyema, Tanga ni cha mtoto!. Yale majumba karibu yote ya Kariakoo ndio wanamiliki wao, walikuja, wakawakuta wenye nyumba na familia zao, wakatoa huduma, walioolewa wakaachwa na wakaolewa wao, wakahakikisha mirathi imeandikwa, just a coincidence, wanaume hao baada ya kuandika mirathi, hufa na nyumba hubaki mali ya mwanamke!.
P
Nasikia wana balaa sana wamanyema
 
Tukienda wote nitakutelekeza. Sipendi iwe hivyo
Hutakuwa na ubavu wa kunitelekeza jirani huoni mleta mada mwenyewe pamoja na yote aliyopewa na wanawake wa Ujiji lakini mwisho wa siku alioa mchaga.
 
Hutakuwa na ubavu wa kunitelekeza jirani huoni mleta mada mwenyewe pamoja na yote aliyopewa na wanawake wa Ujiji lakini mwisho wa siku alioa mchaga.
[emoji3] jirani una balaa wewe. Usithubutu jirani labda wazee waje ndio nitaondoka ujiji
 
[emoji3] jirani una balaa wewe. Usithubutu jirani labda wazee waje ndio nitaondoka ujiji
Hakuna cha wazee wala nini mimi mwenyewe nitakurudisha nyumbani. Wee kubali tu nikusindikize jirani[emoji6]
 
Back
Top Bottom