Wanawake wa Kinyakyusa

Status
Not open for further replies.
Igwe ukishusha pumzi nitakupa ya mwisho, kwa sasa naona nitazidi kukusumbua.

sawa sawa mkuu,..muda mwingine ni hekima kuacha kushambulia na hasa ukiona unayemshambulia anahema kwa hasira_umetu,ia hekima sana mkuu
 
wakuu nimefuatilia mjadala! hizi mada za makabila kwasasa hazina mashiko! mimi wazazi wa baba yangu (baba yake ni mnyamwezi mama yake ni mnyakyusa) wazazi wa mama yangu( baba yake ni msukuma na mama yake ni mnyarwanda) sas kwamchanganyiko huu bado mnajadili makabila wakuu! hiyo ilikuwa zamani!
 
proud kyusa hata msemeje,na hakuna madem wanajiheshimu na kuchakarika tz km kyusa.kaoe mchaga au mrangi ujute kuzaliwa

Chuki binafsi hizo ;mbona nimeoa mchaga miaka zaidi ya kumi sijajuta
 
endeleeni kuchambana ila mie sijaona ubaya wa wanyakyusa as a trible
 
Rose pole kwa yaliyokusibu
ila shukuru hukulogwa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…