Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RRONDO nakuja hapo tukale kitimoto!Ilala wanapouza vipuri used vya magari
Wanaijeria hawafai aisee bora hata Yoruba, hao Igbo ni ma mafia..
bora Yoruba igbo ni mamafia umeishi nao’????Wanaijeria hawafai aisee bora hata Yoruba, hao Igbo ni ma mafia..
Rotimi ni mnigeria ila kazaliwa us Nw jersey maza igbo father YorubaRotimi sio mnigeria mkuu
Zile taarifa kuwa wamasai huwa hawali kitimoto ni za uongo mkuu?Mnipitie
bora Yoruba igbo ni mamafia umeishi nao’????
Ndiyo mkuu ninaishi na igbo family Husb and wife ,na mtoto mmoja wala hawna shida mwaka wa 2 sasa hv ....I hate Yoruba and hausa maana wanachowafanyia igbos ni kibaya sanaunadhani nimeongea tuu??
Zipuuzwe kabisaaZile taarifa kuwa wamasai huwa hawali kitimoto ni za uongo mkuu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mmasai wa kisasa!Zipuuzwe kabisaa
Kuna jamaa anasema ww ndio mwanamke wa jf aliemgonga kavu kavu,eti ni kweli?...Wanaume wa kibongo bnaa..
Rafiki kuna tetesi kuwa RRONDO ni mnaigeria![emoji41][emoji41][emoji41]
Jamaa hili goma alilitafuna kavu kavuSio mnaigeria ni Mmarekani mweusi.
Sasa na nasikia wana mitalimbo si atakuchana hadi utumbo
Ufundi gereji sio kazi??
bwana ake na vemoney.Katika kipindi cha karibuni kumekuwa na trend ya masista du wengi hapa mjini kujipendekeza kwa wanaume wa ki Afrika Wenye asili ya Nigeria. Wengi waki hadaiwa na pesa ndogo ndogo na safari za uarabuni.
swali langu kwa kina Dada WaNigeria mnawafahamu au mnawasikia tu ??.
Binafsi nimekuwa na experience ya kuwa na urafiki na hawa watu kipind nilipokuwa nchi mmoja kusini mwaAfrika,Kwa experience yangu ndogo ni watu wenye juhud katika utafutaji lakini mbali na hivyo ni watu wenye kando kando nyingi kuliko watu wa nchi nyingine yoyote barani Afrika.
Ni vyema ukatambua jambo unalojiingiza. Binafsi nimeshaona watu wenye asili ya huko wakiBadili wanawake karibu kila siku atakayokuwa mzima afya, Mtu akimuuza mke/girlfriend wake kwa vikundi vya kihuni ili apate hela, Mwanamke kupelekwa katika madanguro na bwana ake mwenyewe.
Mwanaume kumuuzia msala girlfriend wake na kupata kifungo cha muda mrefu, Watu kuwafanyia some embarrassing sexual activities aibu hata kuvitaja hadharani (wanawake wao)wakiwa katika vikundi na mengine mengi anayefahamu anaweza kuongezea .
N.B.
Andiko hili halina lengo kuchafua watu wenye asili ya taifa Fulani bali lina elezea uzoefu binafsi juu ya watu wenye asili ya huko.
Ahaaaa umenikumbusha vituko vya ile harusi5yrs ago hadi nikasimulia humu jf😂😂😂😂niliendaga Mara moja nikaandika hapa mpaka leo ukashikilia bango? Wewe kiboko mkuu niseme hata jingine kama lipo hili nimekuwa too much😁luckyline yupi? Yule Matron wa harusi za watu......?
Goma ndio nani??Jamaa hili goma alilitafuna kavu kavu