Wanawake wa kitanzania, mnawafahamu wa Nigeria au mnawasikia tu?

Wanawake wa kitanzania, mnawafahamu wa Nigeria au mnawasikia tu?

Ni kweli kabisa mkuu nililala wa kutembelea nchi moja ya ulaya unapozungumuzia mambo ya biashara kwanza unaulizwa we ni mnajeria ukimwambia hafanyi tena biashara na wewe.

Anaweza akakusafirisha katika inchi ya mbali na kukulazimisha ubebe mzigo wa madawa sivyo unauwawa.

Acha uongo wazungu wanawaogopa wanigeria kwa sababu ya wizi na utapeli wa mitandao wanigeria sio wauwaji
 
Ndiyo mkuu ninaishi na igbo family Husb and wife ,na mtoto mmoja wala hawna shida mwaka wa 2 sasa hv ....I hate Yoruba and hausa maana wanachowafanyia igbos ni kibaya sana

My dear wanaigeria hawajulikani kwa violence Bali especially Wizi wa Identity information ama debit ama credit cards, wewe jione uko safe kumbe kuna mtu anatumia jina lako somewhere
 
Sifa ya wanaijeria ni wajanja Sana aisee, utapeli, wizi, ujuaji
 
Kuna mpopo mmoja alimuuza classmate wangu kwa mganga wa kienyeji..Nairobi hiyo last year
 
Wanaogopeka china. Hata mkiwa migration kama wako mbele yako jua mtachelewa tu na wao mara nyingi huvutwa kukaguliwa pembeni maana visa zao nyingi feki
 
Back
Top Bottom