Wanawake wa kitanzania, mnawafahamu wa Nigeria au mnawasikia tu?

Kuweka rekodi sawa ni kwamba wale waanzilishi wa zile message demu mzuri yupo kambi ya wakimbizi Ghana au wapi huko ila ameokolewa na mchungaji ila wazazi wake wana $50,000,000 hivyo tuma $100 ufanikishe ni hao hao wanaijeria
 
KZ Natal tunawaita wapopo , kwao pesa mbele. Kuhusu wanawake wao huoa wanawake wa nchini kwao tu hao wengine ni mwendo wa kupigwa miti tu mbaka akili ikae sawa .
 
bwana ake na vemoney.
 
luckyline yupi? Yule Matron wa harusi za watu......?
Ahaaaa umenikumbusha vituko vya ile harusi5yrs ago hadi nikasimulia humu jf😂😂😂😂niliendaga Mara moja nikaandika hapa mpaka leo ukashikilia bango? Wewe kiboko mkuu niseme hata jingine kama lipo hili nimekuwa too much😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…