Ni kweli kabisa mkuu nililala wa kutembelea nchi moja ya ulaya unapozungumuzia mambo ya biashara kwanza unaulizwa we ni mnajeria ukimwambia hafanyi tena biashara na wewe.
Anaweza akakusafirisha katika inchi ya mbali na kukulazimisha ubebe mzigo wa madawa sivyo unauwawa.
Ndiyo mkuu ninaishi na igbo family Husb and wife ,na mtoto mmoja wala hawna shida mwaka wa 2 sasa hv ....I hate Yoruba and hausa maana wanachowafanyia igbos ni kibaya sana
Nikiwa mkubwa nataka niwe kama dada luckyline!Ahaaaa umenikumbusha vituko vya ile harusi5yrs ago hadi nikasimulia humu jf[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]niliendaga Mara moja nikaandika hapa mpaka leo ukashikilia bango? Wewe kiboko mkuu niseme hata jingine kama lipo hili nimekuwa too much[emoji16]
nashukuru kwa kuniunga mkonoRotimi ni mmarekani tena kazaliwa New jersey maza igbo father Yoruba
Wee nikome usiniletee mazoea ya ovyo.Kuna jamaa anasema ww ndio mwanamke wa jf aliemgonga kavu kavu,eti ni kweli?...
Yahoo boys siyo watu wazuri [emoji23]
Ni kweli watakipata wanachokitafuta .Wanakulitafuta wanakulipata wacha waione NGONDOIGWA.
Nawanatafunwa kweli , hawa majamaa ni wazuri katika kila aina ya utapeli.Wacha watafunwe tu maana wanapenda longo longo
Kuna mpopo mmoja alimuuza classmate wangu kwa mganga wa kienyeji..Nairobi hiyo last year
Kuna mpopo mmoja alimuuza classmate wangu kwa mganga wa kienyeji..Nairobi hiyo last year
Wewe huponi ukijilengesha lazima tuuuMi nawapendaga hasa muonekano wao.
Wewe huponi ukijilengesha lazima tuuu