Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,055
- 8,540
Ili sisi kako zako twende wapi.( kuweni na huruma)Kwanini sasa? Nikipata mmoja nikamuelewa nakaa nione.
UtajutaKwanini sasa? Nikipata mmoja nikamuelewa nakaa nione.
Ili sisi kako zako twende wapi.( kuweni na huruma)
Mapopoo sio watu wazuri!!
Japo nasikia wadada wengi mnawaelewa kwa sababu wanahonga sana
Uchochezi huu! Siku ukikosa kitimoto lazima ulipizie kwa kufanya uchochezi![emoji30][emoji30][emoji30]Uwe mara ngapi sasa? Labda ukiwa babu
Kwann hukumpenda ? Kwann uchumba ulivunjia ?nilipataga mchumba wa huko ila sijawi kumpendaga kabisa jamaa alikua anafanya biashara kariakoo
Ni mnijeriaRotimi sio mnigeria mkuu
hata ukisema Mtanzania sawa tuNi mzanzibari.
Uchochezi huu! Siku ukikosa kitimoto lazima ulipizie kwa kufanya uchochezi![emoji30][emoji30][emoji30]
Ni , noma.Aisee
hebu dada vua mkuu maana hawa jamaa wanasadikiwa kua wana utajiri usio mithlika bila ya kua na source of income yyteYahoo boys siyo watu wazuri
Yahoo boys siyo watu wazuri