Wanawake wa kuepuka kuoa kama hutaki kufa kwa presha mapema

Nimegundua siku hizi hakuna wanaume kuna wavulana kama makundi yote hayo wanaume hawawezi kuoa ,dunia imekwisha tuna version ya wanaume wavulana na mwishoni watatoweka.
 
Hili ndio jibu.... Oa mwanamke anaye ku support na kuku challenge. Kuoa ni muhimu kama wewe ni mwanaume uliyetimia na mwenye akili.
Hizi challenge ni zipi maana walio wengi ata ukiwa nae ktk mahusiano basi hua mabubu kila kitu hukufanya hawajui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…